Radical
JF-Expert Member
- Jun 3, 2009
- 374
- 44
This x-mass nilisafiri kwenda Z'bar (Unguja) kwa ajili ya matembezi. Katika yote issue ya usafiri wa speed boats (I used Azam Marine boats) niliona yafuatayo ambayo yanahitaji mamlaka na wasafiri kuchukulia uzito;
- Viti havina namba hence wakati wa kuingia you just sit on any empty seat; creating a huge scrambe for seats.
- Tickets zinauzwa nyingi kuliko idadi ya seats; wanatangaza boat imejaa but still wanaendelea kuuza tickets ila kwa bei ya juu kidogo.
- Hence boats zinakuwa over-loaded na ni hatari sana (remember MV Bukoba).
- Viti viwe na namba na tickets ziwe na corresponding seat numbers.
- Every passenger should have a seat, any one without a seat authorities should make a pre-take off inspection and not allow boats to leave.
- Abiria tunatakiwa tugome kusafiri kwenye mazingira hayo (usiniulize why sikugoma, I wish I did but I was alone on it).