Uturuki kuna nini?

I'm not so sure kuna nini lakini Turkey ninavyoielewa kwa sasa is among the top 20 largest economies in the world na wamekuwa very agresssive in the recent years ktk kuinvest in Africa, Middle East na Asia. Wamekuwa wakiiga model ya China ktk kwenda kila kona ya dunia ili kutafuta masoko na kuinvest. Ndio maana wamevamia hata bongo kwa kasi mno recently.
Kuhusu trip nyingi za waheshimiwa kwenda huko, hata sijui kunani, labda kuna mwenye nyeti atatujuza.

Turkey has the world's 15th largest GDP-PPP[2] and 17th largest Nominal GDP.[8] The country is a founding member of the OECD (1961) and the G-20 major economies (1999). Since December 31, 1995, Turkey is also a part of the EU Customs Union. Mean graduate pay was $10.02 per manhour in 2010.
The CIA classifies Turkey as a developed country.[9] Turkey is often classified as a newly industrialized country by economists and political scientists;[10][11][12] while Merrill Lynch, the World Bank and The Economist magazine describe Turkey as an emerging market economy.[13][14][15]
The World Bank classifies Turkey as an upper-middle income country in terms of the country's per capita GDP in 2007.[15] According to a survey by Forbes magazine, Istanbul, Turkey's financial capital, had a total of 28 billionaires as of March 2010 (down from 35 in 2008), ranking 4th in the world behind Moscow (50 billionaires), New York City (60 billionaires) and London (32 billionaires).[16]
Source:Weekpedia
 
lazima wameona kuna investment potentials huko...usisahau na kuhifadhi hela zenu wanazozitoa huku
 
Wanakwenda kuficha pesa huko wote akina Mubaraak,Ben,Gadaffi, walikuwa na miradi mikubwa mikubwa huko na fedha nyingi waliwekeza huko pia ,sasa na akina Shein,Jakaya,Seif wataficha pesa zao huko,kwa sababu pamoja na kuwa ni nchi ya kiislamu lakini inamahusiano mazuri ya kidplomasia na west na America,
 
Back
Top Bottom