Tovuti ya HESLB ipo sawa ama?

Long'ututi

Member
Dec 5, 2010
41
4
Nimejaribu kulog in mtandao wa bodi ya mikopo toka alhamisi naambiwa nimekosea password wakati kiuhaki najua sijakosea. Wenzangu mnafanyaje kulog in?


Hawa jamaa wa HELSB nadhani hawakufaya maandalizi kabla ya kuanzisha hii OLAS, mwanzoni kabla ya matokeo ya F6 ilikuwa infanyakazi vizuri lakinio traffic ilipoongezeka wameshindwa kubeba mzigo na sasa ime-crash.

Sasa hivi vijana wanashinda kwenye ofisi za hawa jamaa na hawapewi msaada wowote; tena hawa wako Dar, sijui wale walioko mikoani wanafanyaje? Simu zao za customer care wamezima!

I can smell a rotten rat in all this OLAS business!
 
shida ipo,cause mi nipo na cyber cafe na matatizo hayo yapo sana.nadhani hatuko tayari kwa system hiyo.
 
Website yao itakuwa overloaded..watu wengi watakuwa wanaifungua.
 
Kuna tatizo tena kubwa nimejaribu kubadiri hata muda wa ku login hadi usiku wa manane lakini wapi inaleta massage hii
" A Database Error Occurred
Error Number: 1146

Table 'olashes_olas.prospectivetracker' doesn't exist

SELECT * FROM (`prospectivetracker`) WHERE `registerid` = '4..2'" nimeenda hadi cafes tatizo lilelile. Afu zile help lines zao nazo wamezi disable sa sijui lengo lao nini hasa maana hakuna kinachoendeleathree days consecatively
 
Hawa jamaa wa HELSB nadhani hawakufaya maandalizi kabla ya kuanzisha hii OLAS, mwanzoni kabla ya matokeo ya F6 ilikuwa infanyakazi vizuri lakinio traffic ilipoongezeka wameshindwa kubeba mzigo na sasa ime-crash.

Sasa hivi vijana wanashinda kwenye ofisi za hawa jamaa na hawapewi msaada wowote; tena hawa wako Dar, sijui wale walioko mikoani wanafanyaje? Simu zao za customer care wamezima!

I can smell a rotten rat in all this OLAS business!
 
Tatizo hilo lipo sana,binafsi nilijaribu siku za karibuni lakini matatizo katika ku-log in yakawa yanajitokeza mara kwa mara nikaona web imepata kichefuchefu nika withdraw.
 
iko ovyo sana ile website halafu kuna poor security.........unaweza kuhack kwa urahisi sana.........pasword ya admin iko very poor sio strong hata kidogo......haijatengenezwa kuccomodate watu wengi kwa wakati mmoja........kuna siku watakuta hakuna taarifa yoyote kama wataendelea na upuuzi wa kuwa na security mbovu hivyo
 
Solution yake jaribu kureset password ili wakupe nyingine but haya yote yafanye usiku kuanzia mida ya saa tano na kuendelea. on my side imenisaidia.
 
ndugu yangu anajaribu kujaza hapa lakini akisabumiti inajibu hivi

A PHP Error was encountered

Severity: Notice
Message: Undefined variable: yos
Filename: libraries/Loader.php(673) : eval()'d code
Line Number: 233
 
Nini suluhishi ya haya matatizo ?huduma za internet tz ni poor,.. Inafurahisha taasisi mbalimbali zikitaka kuachana na taratibu za kizamani na kwenda kidigo na ulimwengu wa techn, ila inasikitisha kuona serikali kama serikali kuto kua tayari kutengeneza mazingira mazuri ili haya mambo yawe kwa manufa., ivi ule mkonga wa mawasiliano uliishia wapi ? Na hisi kidogo ungesaidia kwenye hili tatizo au ? Naomba kuelimishwa kidogo.
 
kuna rafiki yangu alikosea akawa anataka kubadi, akienda kwenye change parents status aki-click ni change fro alive to alive, na info zingine ni kizungumkuti, akawaibukia na kwa sababu ana mtu pale akaacha detail zake mtandao ukitengamaa wamrekebishie.
 
me niliwatimbia ofisin kwao hapa bongo, kuna 4m za kizushi 2mejaza waka2ambia 2ngoje wa2pigie ximu mana 2liandika na # ze2. leo hii xiku ya 4 hamna lolote, kesho nataka niwatimbie tena. kama uko mkoani we timba bongo kwenye ofic zao.
 
ni kwel tatizo kama hilo lilinitokea mm wakat naaply ila nilichofanya nilwapigia cmu wakinomba usrname wakasema wanashughulikia baada ya mda watanitaarfu ila nikaona kimya .... nilichofanya nika RESET PASWORD Nnikacreat new then nikalog in ikakubal kabisaaaaa so jaribun hiyo!!!!!!!!
 
Wataalamu wameshaichakachua hiyo!
"Tanzania ina waharibifu wengi kuliko watengenezaji"
 
Back
Top Bottom