Nashindwa kabisa kuelewa ilikuaje mhimili wenye mamlaka ya kutunga na kupitisha sheria kuipitisha sheria hii.ina maana sheria hiyo ilipitishwa bila kujadiliwa???maana ni wazi kabisa imewekwa kuwanyonya wananchi waliokuwa wakifaidika na mfuko huo.
Inauma sana kuona mwanmke/mwanaume aliyekuwa mpenzi wako wa zamani ameolewa/ameoa mtu mwingine wakti ulikua unahisi ipo siku mtarudiana na kuwa pamoja milele!!!!
Wanawake ni viumbe vinavyopenda kubembelezwa kususa kwao ni ili wabembelezwe jamani.sasa utakapojifanya na ww hujui kubembeleza hapo ndo kazi itakapokuwepo ila kwa wenzangu na mm ni kujishusha tu mapemaaa.
We kihaluja kwani mwenye thread kakuomba umsaidie kumjibia maswali??yy yuko seriaz na situation alonayo afu we unaleta mzaha kama unataka mzaha na senetor si uanzishe thread yako???
Sio shabiki wa siasa ila inasikitisha sana kuona watu wengi wanachangia kwa ushabiki tu.inadhihirisha kwamba hawafikirii siasa ni mchezo mchafu siamini kama cdm italeta mabadiliko ambayo yatashangaza wengi itakua the same story.Naunga hoja 100% kuwa ipo siku vijana wataigeuka CHADEMA kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.