Aisee Magwepande umenifungua macho. Kweli Tanzania tumekwisha. Yani tumekwisha kabisaaa.. Huyo Mary Amri na wenzake wenye tabia kama yake wachukuliwe hatua kali sana. Tuna kushukuru Mkuu kwa kutufungua masikio.
Kwa maoni yangu nafikiri hapa janvini si mahali pake,haya malalamiko peleka takukuru,polisi na tra kwenyewe otherwise jf itakuwa ni sehemu ya majungu na fitna
Tafadhali wewe uliyeandika unaushaihidi au ni majungu tu ,Tafadhali jammii forumi itumike vizuri siyo kwa majungu.w ondewe ukidaiwa ushaidi utatoa kama huna ondoa
Tafadhali wewe uliyeandika unaushaihidi au ni majungu tu ,Tafadhali jammii forumi itumike vizuri siyo kwa majungu.w ondewe ukidaiwa ushaidi utatoa kama huna ondoa
Ni vizuri tukajua kuwa mkwepa kodi yoyote huko kwa wenzetu hufungwa au kufilisiwa bila huruma kwa maana huyu anaikosesha mapato serikali na matokeo ni kudorora kwa huduma za umma.Napata wasiwasi kuwa Nndondo anafaidika mno na mapato ya Mariedo kiasi cha kupoteza povu jingi na kujiapisha na kutusomesha sisi tusiojua smartness za mitaani,na kejeli kuwa yote ni majungu,kama vile kakariri maneno ya watuhumiwa wa EPA waliotajwa na Baba Slaa pale Mwembe Yanga!
Halafu katika kukua kiroho kiukweli lazima uweze kukemea dhambi za waziwazi kama hii vinginevyo basi bado uko Misri-kiroho that is!
Hayo yote sio kwamba hayajulikani, minaona na sisi tumtafute atufundishe jinsi ya kukwepa kodi. na huyo ni mmoja aliyeanikwa lkn most of wafanyabiashara ni lazima wakwepe kodi. tena umemtaja yeye tu yule ana wadogo zake ana binamu zake wana maduka kkoo ndio huwa wanaunganisha mzigo wanaleta kwa pamoja. so its beta tuwajoin tuchukue vyetu mapema!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.