Kweli Lema ni kiboko

Kweli Lema ni kiboko

serikali isiyo halali marazote haina maadili na itasumbuliwa kwa kila hali.haina ubavu

umeiweka vyema

tatizo kubwa la serikali ya namna hii ni victimization, so the risks may outweigh everything
 
Waulize mziki wa mbeya walipojarb watoa wamachinga. Mpaka leo wapo ule mtaa wanapiga kazi. Huwezi shindana na nguvu ya umma ht cku moja
 
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.

Hivi serikali inayochagliwa kidemokrasia ni hii hii inayonunua kura na kuwahonga wananchi t shirt, kapelo, pilau na ahadi zisizo tekelezeka?
 
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.

Kwani Arusha walimchagua mbunge gani? Na mioyoni mwa Watanzania kuna serikali gani? Tafakari chukua hatua
 
Wanatafuta uchokozi tena Arusha wakidhan wananchi bila Lema watawaburuza watakavyo,WANATUFANYA TUAMINI KUMWONDOLEA LEMA UBUNGE ULIKUWA MKAKATI WA KUDHOOFISHA DEMOCRASIA A TOWN.
 
Chadema kinakubalika hilo sina ubishi nalo lakini ni wakti sasa wa viongozi wake kuwa makini sana na maneno wanayoyatamka hadharani..😛eace:
 
Siasa bhana, CHADEMA wakichukua nchi 2015 si wataruhusu machinga mpaka ikulu. Ubungo saivi safi.

manispaa ilikua inataka kuwaondoa pasipo kuwaamishia popote..lema amewaambia wasiondoke mpaka waoneshwe pakuhamia..ubungo walioneshwa pa kuhamia...usiparamie mambo mkuu tuulize sisi wa arusha ndio tunaijua hali halisi..
 
Jamani wamachinga tena? safari hii kitanuka. watu wana hali ngumu na kuipata 500/= kwa siku ni shida then unataka kumwondolea maskanni ya biashara yake kweli?? sijui.
 
Lema amesema vyema kama amezungumza hayo,

kweli sio vizuri kufanya biashara bila mpangilio, lakini huwezi kumhamisha mtu bila kumwonyesha eneo mbadala la kufanyia biashara, hawa watu wanatafuta riziki zao, wanasomesha, wanalipa kodi ya pango na kupata mahitaji muhimu kutokana na biashara hizo, wakati watu wengine wananeemeka kwa kuhujumu uchumi wa nchi a.k.a mawaziri, na viongozi mbali mbali wa serikali ya ccm !! ifike mahara halmashauri za miji zifanye kazi, watenge maeneo na kuwekea miundo mbinu, watu wamekaa tu maofisini kuanzia mawaziri mpaka viongozi wa serikali za mitaa, kweli ccm janga la kitaifa.
 
Serikali isiyotumikia wananchi lazima wananchi waigomee. Kama serikali haina wajibu kwa maisha ya wananchi kwa nini wananchi wawe na wajibu kwa serikali???!!!
 
Na pia asisahau kuwaambia wasilipe kodi wala ushuru!

Nenda miji yote mikuu duniani kuna utaratibu maalumu wa kufanya biashara, huo ni ujinga na uwezo mdogo anaoonyesha

huyo aliyekuwa mbunge wa arusha

miji yote mikubwa haiwanyang'anyi viwanja wabavyofanyia biashara wananchi wake na kuyagawia mabepari
 
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.

Kama angekuwa hana cheo wangetii agizo lake?
 
hiyo nii kushindwa kazi? Iweje viongozi watoe siku,yaani tarehe bila kuwa na maandalizi? kazi za mazoeazoea ni kazi za washensi kabisa.
 
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.

Hata Sir Richard Turnbul alikuwa naongea kama wewe, lakini aliondoka.
 
Back
Top Bottom