Lema amesema vyema kama amezungumza hayo,
kweli sio vizuri kufanya biashara bila mpangilio, lakini huwezi kumhamisha mtu bila kumwonyesha eneo mbadala la kufanyia biashara, hawa watu wanatafuta riziki zao, wanasomesha, wanalipa kodi ya pango na kupata mahitaji muhimu kutokana na biashara hizo, wakati watu wengine wananeemeka kwa kuhujumu uchumi wa nchi a.k.a mawaziri, na viongozi mbali mbali wa serikali ya ccm !! ifike mahara halmashauri za miji zifanye kazi, watenge maeneo na kuwekea miundo mbinu, watu wamekaa tu maofisini kuanzia mawaziri mpaka viongozi wa serikali za mitaa, kweli ccm janga la kitaifa.