ndugu papizo, alotoa mada ni MAMKEY mimi ni KILAHUNJA na nimejibu swali alouliza SENETOR cz ana tabia za mizaha ktk maswala ya KAZI, so ts nt a real thing, be disturbed by it no more.
am nt a HE i am a SHE.
hivi ukijua fani yake itakusaidia nini? Bado kidogo utauliza kasoma chuo ganiUna degree ya fani gani?
umempa jibu zuri sana, apunguze kuchokonoa mambo yasiyomhusu.degree ya fani ya certifiket in masterz and advance diploma majoring in bachelor.
Umeolewa? Kama bado vipi bado bikira?
hivi ukijua fani yake itakusaidia nini? Bado kidogo utauliza kasoma chuo gani
umempa jibu zuri sana, apunguze kuchokonoa mambo yasiyomhusu.
kati ya mim na wewe nan kaonyesha mzaha hapo?
mweee...
Umeolewa? Kama bado vipi bado bikira?
Jamaa ameuliza swali vipi majibu?
ndio nimeolewa na ndio mi ni bikira.
am nt a HE i am a SHE.
ndugu papizo, alotoa mada ni MAMKEY mimi ni KILAHUNJA na nimejibu swali alouliza SENETOR cz ana tabia za mizaha ktk maswala ya KAZI, so ts nt a real thing, be disturbed by it no more.
Bikra ipi? Kaskazini or kusini?
nimefanya interview nyingi nyingine nimefanikia kabisa na kutumiwa mpaka sms za congratulations na kuwa wataniita after same days sasa miez cta cjaitwa jamani nifanyeje? No capital,?? No income,??? Ntafantaje mim wakati cna hata wa kumtegemea jamani nisaidieni pliz.
We kihaluja kwani mwenye thread kakuomba umsaidie kumjibia maswali??yy yuko seriaz na situation alonayo afu we unaleta mzaha kama unataka mzaha na senetor si uanzishe thread yako???