SAFARI YA KIJIJINI
SEHEMU YA PILI....
Mtunzi:Issa M.M
.....niliweka rasket yangu vema mgogoni nikawa tayari sasa kusubiri gari na kila mmoja alikua yupo tayar kupambana na mwenzake ili apate kuwahi kuingia ndani ya gari......Mh gari kabla ya kutia nanga watu waliikimbilia na mimi nikiwa mmoja...
SIMULIZI
Mtunzi:Issa,M.M
Jina la simulizi:SAFARI YA KIJIJIN
......Ilikua ni saa 12:30 za asubuhi wakat nimejilaza kitandani Mguu mmoja nimeubwaga kule na mwengine kule utazani nimekufa maji nilijigeuza huku na kule ghafla nilijishika mkono wa kushoto nikagundua kua jana nilipolala nilisahau...
Hizi ni tafiti za kibiashara zaidi ili wavutie watu wengi kufanya hivi vitendo vionekane ni sahihi katika jamii na kuzidi kutengeneza zile video zao za xxx
Usimlaumu yeye ni mwanamke na anajielewa sana ila fikilieni nje ya box kwann ameweka maisha yake katika mitandao? Hilo ni swali gumu sana jibu analo mwenyewe....
Jambo lingine kumbuka yeye n kioo cha jamii anafuatiliwa na wanawake wengi sana hapa tz hivyo kwa ww mwanaume na isitoshe unaweza...
Kwa hiyo ww unatumia apple sio watanzania bwana ndio maana tukaambiwa na trump nyie ni kama mashimo ya choo badala uwaze ufanye nn ufanikiwe zaidi hapo ulipo uende hatua unayotaka unawaza magar harafu unaniaminisha wanaume wa dar hovyo sana nilikuwa natetea lakini mmezidi maana sio kwa kuwaza huko
Huu uzi unanifanya nawaza kwann uandike hivi au kuwaza hivi au ww ni konda na kama sio basi nahisi ulikuwa kwenye folen na mwisho uikuwa huna cha kufanya ukaamua kuwaza hiv.....sasa ww itakusaidia nn unataka ziwe toyota au
Hakikisha unakuwa na daktar wa kike kwa mwanamke wako ana wa kiume kwa wa ww mwenyewe.....na kama hiyo huwez kama unampeleka hospitali mke wako bas tafuta daktar wa kike au hata nurse, kwa kufanya hivyo heshima ya mwanamke au mke wako itakuwepo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.