Ushauri kwa Serikali kuhusu elimu

PAZIA 3

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
1,070
1,842
Nashauri, serikali iandae walimu, wataalamu kisha waandae vipindi mbalimbali vya masomo, ambavyo vitawekwa kwenye CDs, flash nk, kisha wazisambaze shuleni hasa shule zenye uhaba wa walimu.

Kukosoa ni ruksa

Nawasilisha
 
Nashauri,serikali iandae walimu,wataalamu,,kisha waandae vipindi mbalimbali vya masomo,ambavyo vitawekwa kwenye CDs,flash nk,,kisha wazisambaze shuleni hasa shule zenye uhaba wa walimu,!!!
Kukosoa ni ruksa
nawasilisha
tatizo la Elimu Tanzania NI la kimfumo, lakin pia tatizo lingine NI vitendea kaz maana ukisha taja flash tayari unaongelea mifumo ya computer Je shule ngapi zina umeme na compiter? changamoto mpya ingawa una wazo zuri Mkuu

lakin nchi yako wala haiba mpango ea.kuboresha Elimu maana wakisha boresha kila mtanzania anakuwa anauona upumbaavu na ujinga na uongo wa watawala mubashara.

hivyo washangiliji na wapiga makofi watapungua kitu ambacho kikikosekana ndio kifo cha CCM.
 
Umefikiria kwa shule za mjini tu,,,, kuna shule ziko porini sana ambazo hazina miundo mbinu za kuwezesha hizo CD
 
Umefikiria kwa shule za mjini tu,,,, kuna shule ziko porini sana ambazo hazina miundo mbinu za kuwezesha hizo CD
Umeme wa solar upo,lakn pia Rea wamejitahidi,wako mbali sana, au wanaweza kuwatumia maofisa elimu kata,wawe wanatembea na power point,angalau kwa mwezi mara 2 au mara 3 kwa kila shule
 
Nashauri,serikali iandae walimu,wataalamu,,kisha waandae vipindi mbalimbali vya masomo,ambavyo vitawekwa kwenye CDs,flash nk,,kisha wazisambaze shuleni hasa shule zenye uhaba wa walimu,!!!
Kukosoa ni ruksa
nawasilisha



Si kwamba cd zenye content ya kielimu hazipo, zipo nyingi tu isipokuwa shule zenye uhaba wa walimu ni shule za nje ya miji ambako hakuna umeme, je hizo cd zitafanyaje kazi?
 
Umeme wa solar upo,lakn pia Rea wamejitahidi,wako mbali sana, au wanaweza kuwatumia maofisa elimu kata,wawe wanatembea na power point,angalau kwa mwezi mara 2 au mara 3 kwa kila shule


vyumba vya madarasa na ofisi za kutunzia vifaa ni mfu kabisa!!
 
Nashauri,serikali iandae walimu,wataalamu,,kisha waandae vipindi mbalimbali vya masomo,ambavyo vitawekwa kwenye CDs,flash nk,,kisha wazisambaze shuleni hasa shule zenye uhaba wa walimu,!!!
Kukosoa ni ruksa
nawasilisha
Wazo zuri sana. Hapo miaka ya nyuma around 70's to early 80's kulikuwa na kitu kinafanana na hicho. Ila ilikuwa masomo kutolewa kwa njia ya redio,na shule nyingi zilikuwa na redio. RTD ndo ilirusha masomo hayo . It was very interesting. Naona wazo lako ni zuri,likifanyiwa utafiti na hatimaye utekelezaji mzuri.
 
Kuna shule hazina hata madarasa wanasoma chini ya miti na mabanda yaliyoezekwa kwa nyasi.
 
Lakn pia,kama mazingira yatakuwa magumu kwa baazi ya maeneo ,serikali inaweza sambaza vipindi hivyo,kupitia mobile phones,either,audios,texts or videos kutegemeana na aina ya simu,,Inawezekana sana!!
 
Nashauri,serikali iandae walimu,wataalamu,,kisha waandae vipindi mbalimbali vya masomo,ambavyo vitawekwa kwenye CDs,flash nk,,kisha wazisambaze shuleni hasa shule zenye uhaba wa walimu,!!!
Kukosoa ni ruksa
nawasilisha
Harafu hizo cd na flash disc zikishasambazwa huko mashuleni ndiyo zinafanyaje?hivi unajua hivyo vitu lazima pawe na vitu vingine ili vifanye kazi?nafikiri kabla ya kusambaza hivyo vitu tajwa kwanza wajenge rooms za kutosha kwenye hizo shule,wapeleke either computer au tv na deck na wahakikishe madarasa yote au shule zote watakazopeleka hivyo vitu wawe wameweka umeme kwanza,wazo lako lilikuwa zuri lakini pia ni la kipuuzi kupindukia.
 
Asante sana mtoa post
Kweli kabisaa lkn hatuwez kuanza shule zote nchini kwa mkupuo napendekeza wazo lako ziwepo shule maalum zipendekezwe na serikali waanze nazo ili kuona ufanisi
Na Kama ufanisi ni mkubwa basi gharama zipigwe angalau kila mkoa ziwepo shule hata kumi tu Kama kipaumbele ....
 
Back
Top Bottom