kwinyo
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 281
- 230
Umoja wa Mataifa umelaani kauli ya Rais wa Marekani, Donald Trump aliyoitoa hivi karibuni kuhusu udhibiti wa wahamiaji weusi wanaoingia nchini humo kwaajili ya kutafuta maisha.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Msemaji wa Umoja wa Mataifa akizungumzia kauli hiyo aliyoitoa Rais Trump akiwa ofisini kwake,amesema[emoji117]kauli hiyo ni ya kushtua naya kibaguzi.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Rais Tump anadaiwa kuwa wakati akijadiliana na wabunge kuhusu mpango wahamiaji nchini humo alihoji[emoji117]Kwanini tunaruhusu watu hawa wote kutoka kwenye nchi alizoziita mashimo ya choo kuja hapa?.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Huku akizitaja nchi ya Haiti, El Salvador nan chi za Afrika.
Ikulu ya Marekani haijakanusha wala kusema chochote juu ya kauli hiyo.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Katika wiki za hivi karibuni,Uongozi wa rais Trump umekuwa ukifanya jitihada za kujaribu kupunguza idadi ya familia za wahamiaji ambao watatakiwa kuingia Marekani,na tayari wameshawaondolea maelfu ya wahamiaji waliopo nchini humo.
Msemaji wa Umoja wa Mataifa akizungumzia kauli hiyo aliyoitoa Rais Trump akiwa ofisini kwake,amesema[emoji117]kauli hiyo ni ya kushtua naya kibaguzi.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Rais Tump anadaiwa kuwa wakati akijadiliana na wabunge kuhusu mpango wahamiaji nchini humo alihoji[emoji117]Kwanini tunaruhusu watu hawa wote kutoka kwenye nchi alizoziita mashimo ya choo kuja hapa?.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Huku akizitaja nchi ya Haiti, El Salvador nan chi za Afrika.
Ikulu ya Marekani haijakanusha wala kusema chochote juu ya kauli hiyo.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Katika wiki za hivi karibuni,Uongozi wa rais Trump umekuwa ukifanya jitihada za kujaribu kupunguza idadi ya familia za wahamiaji ambao watatakiwa kuingia Marekani,na tayari wameshawaondolea maelfu ya wahamiaji waliopo nchini humo.