Kwani umewekwa ndani kwa muda gani hadi hivi sasa?Uwa najiuliza peke yangu sipati majibu...???????????
Kwann wenzetu wa imani ile........ wanachelewa sana kuoa...unakuta wachumba wanakaa nyumba1..wanazaa hadi watoto by 35+ ndio ndoa ufuata ni kwann?
Most of Christians hasa RC kwa huku kwetu sijui huko nipe uzoefu@
Sio kwa ubaya chief mtazamo tu@ toa maoni
Tuko pamoja mkuumimi Muslim lakini kuoa mapema
bila ya kujiandaa na maisha ..hapana aiseeee
huko kwenu ni Wap????? Kama ni kwenu c umuulze hata ndugu zako?Most of Christians hasa RC kwa huku kwetu sijui huko nipe uzoefu@