Acha kufananisha uchi za kizungu na za kibongo wewe! Za kikwetu zinawepagawawisha bw! Ukiona Mara moja tu picha haifutiki wiki nzima kwenye glasi ya maji, darini hata ukifumba macho IPO tu. Wakatazwe tu!!!
ila tako ni tako tu na uchi utabaki kuwa uchi tu kwan black wangapi ambao siyo wabongo wanaocheza hizo video na episode kibao.! kukataza wala kuruhusu haziwezi kusaidia maadili yetu kutoshuka. usipoangalia kwenye video utakutana nao mtaan hao wadada na mavazi yao ya uchi.. ni bora kufanya tu mambo yako na kuwaacha wao wafanye yaoSasa matako yao bandia wewe yanakuhusu nini? For his career mwacheni tu. Kama mnaona wivu na wewe karekodi ya kwako

Hujaelewa nini?Eti nn mkuu sijakuelewa
vyuma vimekazaLazima utakua na msongo wa mawazo wewe
Hama nchi kaishi Saudi Arabia huko manake hao wanalipa kodi kupitia kazi iyo.Hello floks.naandika Uzi huu nikiwa na hasira sana juu ya kuporomoka kwa maadili hapa Tz.wasanii kama diamond,alikiba,wenye mambo ya kihuni huni kama wema sepetu,gigy,na mavideo vixing wengine ni lazima wachukuliwe hatua kali kama hizo.Tulitegemea wasanii wakubwa waweze kutusaidia kushape nchi lakini utakuta wao ndo wakwanza kuharibu maadili ya kitanzania.
Diamond kufanya collabo na watu wa marekani kusikyfanye ukengeuke,mnakaa uchi kwenye video zenu,mnadhalilisha wanawake.utakuta mwanamke yuko uchi wa mnyama na matako bandia!!why ,for what??.mdogo angu mond you have to change otherwise you will be in trouble.
Mimi ningependekeza hatua zifuatazo zichukuliwe
1) Waitwe wote waonywe na wasaini kiapo cha kutokurudia huu ujinga na udhalimu wa maadili.
2)Wafutiwe leseni zao za biashara kabisa, bora wakalime
3) Akaunti zao za instagram,facebook,twiter nk ZIFUTWE PERMANENTLY.
4)WAFUKUZWE NCHI ILI WAKAFANYE UHUNI WAO HUKO WAENDAKO.
Kule unawaonea huruma huku unasema waendelee tuHujaelewa nini?
Ivi ni Helo Folks ,au floksHello floks.naandika Uzi huu nikiwa na hasira sana juu ya kuporomoka kwa maadili hapa Tz.wasanii kama diamond,alikiba,wenye mambo ya kihuni huni kama wema sepetu,gigy,na mavideo vixing wengine ni lazima wachukuliwe hatua kali kama hizo.Tulitegemea wasanii wakubwa waweze kutusaidia kushape nchi lakini utakuta wao ndo wakwanza kuharibu maadili ya kitanzania.
Diamond kufanya collabo na watu wa marekani kusikyfanye ukengeuke,mnakaa uchi kwenye video zenu,mnadhalilisha wanawake.utakuta mwanamke yuko uchi wa mnyama na matako bandia!!why ,for what??.mdogo angu mond you have to change otherwise you will be in trouble.
Mimi ningependekeza hatua zifuatazo zichukuliwe
1) Waitwe wote waonywe na wasaini kiapo cha kutokurudia huu ujinga na udhalimu wa maadili.
2)Wafutiwe leseni zao za biashara kabisa, bora wakalime
3) Akaunti zao za instagram,facebook,twiter nk ZIFUTWE PERMANENTLY.
4)WAFUKUZWE NCHI ILI WAKAFANYE UHUNI WAO HUKO WAENDAKO.




Hivi umeona tofauti ya vitu ulivyovisema hapo?? JitafakariKule unawaonea huruma huku unasema waendelee tu
Hahahahhahahahaahha safi sanaukisikia wivu wa kike ndio huu
Hii unaikumbuka maana kule ulikuwa unawaaukitikia hapa unasemaje jitafakariSasa matako yao bandia wewe yanakuhusu nini? For his career mwacheni tu. Kama mnaona wivu na wewe karekodi ya kwako