nashauri walimu kuwe na vyama viwili chama cha walimu shule za msingi na chama cha shule za sekondari kwani chama hiki kimeongozwa sana walimu wa shule za msingi kwa mda mrefu ambao ni waoga na wametumika sana na serikali ya chama mapinduzi ndo maana mpaka sekta ya ualimu haithaminiwi hata kidogo.
wewe unamatatizo ya kisaikolojia ebu nenda vituo vinavyotoa saikoloji ya mapenzi na kama unafanya kazi ngumu punguza harafu jaribu kula vyakula vinavyoleta nguvu za kiume plse usiende kwa waganga wa kienyeji watakuibia.
mwanzo mgumu uckate tamaa ulichokosea kingine usimwage chakula chini ni rahisi sana kupata magonjwa tafuta vyombo vya kulia ni vya bati vinauzwa kwenye masoko ya kawaida hakikisha sehemu wanaporia ni pakavu .
araway kama upo hapa nitafute kwenye namba hii 0764860293 ninakauzoefu kidogo na ufugaji wa kuku wa kienyeji kwa ugonjwa wa kideli kuna dawa inaitwa FLUBAN kuna kitu naona umekosea jitaidi nitafute nikuele vizur.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.