Yesu alishawahi kuwa na familia? Sasa mambo ya kifamilia atayatatuaje? Au yuko kama mapadri wanaofungisha na kusuluhisha ndoa ilhali wao hawajui hata maana ya send-off, kitchen party ama bed party? Au wanao utaalamu wa kinadharia tu bila vitendo? Hata kwa waganga wa kienyeji ambao mkuu wao ni shetani, bosi shetani aka ibilisi hajawahi kuwa na mke hivyo kuwapelekea shida za kwenye familia ni kuwaonea tu. Solution ni kurejea upya viapo vya ndoa yenu (wakristo si huwa mnaapa eti msitenganishwe hadi kifo tu?). Kwenye ndoa utavumilia shida, raha, magonjwa, afya, etc. so, solution number 1 ni KUVUMILIA. Kama hiyo itakushinda basi JIVUE GAMBA na uanze kupambana naye kupitia sheria za nchi! Mwisho, unaweza kumuacha tu kama ilivyo.
pole sana sana sana ....dawa unayo wewe mwenyewe hapa Jf utakachopapta ni wasaidizi wa mumeo na ole wako utoe namba ukiitarajia msaada .......Nikupe siri nenda kajiangalie mwenye we kwanza uhusiano wako na Mungu ..anagalia wapi umekosea alafu ni Pm nikusaidie jinsi ya kuomba rehema ya Mungu kwa yote uliyofanya kabla ya kuendlea kufanya maombi kwa ajili ya Mungu wako..unajua kama na wewe auko sawa na Mungu ukisali kumwombea Mungu unachofanya ni kumuongezea nyumba ndogo lazima ujisafishe kwanza
Mwisho nakutakia kila la kheri na Mungu wa mbinguni akamtie hofu mumeo ajue umuhimu wa mkeo
Kuna njia 2 za kupitia
1. FIGHT FOR YOU SURVIVAL
Nenda ustawi wa jamiii kablock 75% ya Kimshahara cha mumeo ofisini ili umuhudumie mtoto,
Mtafute huyo shankupe umpe kipondo afu mlaze ndani wiki nzima( ni haki yako kikatiba)
Muweke vikao lukuki mumeo na wazazi wake, muaibishe kwa mchungaji na rafikize kwa kulalamika mateso
2. Do nothing and pray!!!!! Ila jiulize je wewe ni msafi wa moyo? sala za wasiwasi hazifiki upesim.
Ushauri wangu pambana njia za kinondoni hapo namba 1 hata mganga haoni ndani, ubabe ubabe tuuuuuu!
Ambavyo Hampagi?...
Kweni Kule Anapewa Nin...Au
Anatwanga Kotekote ?