Sango Ochwera
Member
- Mar 20, 2013
- 98
- 26
Wapumbavu tu nyie walimu,mmeshindwa kuungana kudai haki zenu mmebaki kulalamika tu,subirini uchaguzi umekaribia mkasimamie mpate hizo 2000 zenu ndo stahiki zenu!
Wapumbavu tu nyie walimu,mmeshindwa kuungana kudai haki zenu mmebaki kulalamika tu,subirini uchaguzi umekaribia mkasimamie mpate hizo 2000 zenu ndo stahiki zenu!
Walimu poleni sana aise bora kufanya kazi kwa wahindi kuliko ualimu
Waalimu Wenye ni Failure wa form 4/6 bado mnadai maslahi.
. Kaeni Kimya!
Waalimu Wenye ni Failure wa form 4/6 bado mnadai maslahi.
. Kaeni Kimya!
Hongera mwalimu. Huku wilaya ya Same kuna bima zetu zilishaiva miaka 3 iliyopita. Tumejitahdi kuutumia uongozi wa CWT, wilaya ya Same na CWT mkoa wa KLM lakini wameshindwa kutetea Hakizetu. Hata mimi Natangaza Kujitoa CWT na natangaza kutafuta wakili wakujitegemea anisaidie kusaka madai yangu halali ya Bima iliyoiva tangu 2010.
Mwl. Kata ya Makanya
Waalimu Wenye ni Failure wa form 4/6 bado mnadai maslahi.
. Kaeni Kimya!
mm ndio nimeingia juzi kwenye ajira mpya za serikali. Tulipofika tu mkuu anatutisha eti mambo ya siasa tuachane nayo,Huo ni ujinga,drns kwangu mm kipindi cha dk 80 lzma niwe na dk 20 za kuwaeleza wanafunzi wangu uovu na ubaya wa serikali na huwa ninazitumia kisawasawa,na mwisho wanafunzi wachache lzm uwaone wanatoa machozi na ni lzm waniulize mwl tuambie tufanyeje?Swali hili lina ujumbe mzito kwa serikal ya ccm kwani ninawaeleza yawapasayo kufanya.
SERIKALI KUWA MAKINI SANA,VIJANA TULIOMALIZA SHAHADA NDIO TUMEKAMATA SYSTEM YA ELIMU HUKU MASHULENI (SHULE ZA KATA),WALE WALIMU WAZEE WA ZAMANI WANAOTII UPUMBAVU WENU NA WALIOFOJI VYETI NDIO WANAISHIAISHIA HIVYO.
Waalimu Wenye ni Failure wa form 4/6 bado mnadai maslahi.
. Kaeni Kimya!