Huyu ndie Padre aliyeuawa Zanzibar

Huyu ndie Padre aliyeuawa Zanzibar

Tunaomba wapelelezi toka Roma jesuitfathers ni majasusi wa htr hawa waje kufny kazi
 
mambo yote haya aliye yaanzisha ni Ustadhi Ilunga wa Tabora , kwa kuubiri Chuki baina ya Ukristo na Uislam. yaani huyu jamaa ni hatari lakini Serikali inamwachia tu.
 
RIP Father Evaristus Mushi, umekufa ukiwa katika uinjilishaji na utume kama nadhiri yako ilivyokuwa katika kipindi hiki cha Kwaresma. Tunakuombea raha ya milele na ukapumzike kwa amani baba.
 
Uchunguzi wa kina ufanyike ukizingatia maeneo yafuatayo:

1. Kumewahi kutokea malumbano specific katika kanisa lake baina ya waumini na mapadri?
2. Padre alikuwa analalamikiwa katika jamii anayoishi? kwa lipi?
3. Je! Padre alikuwa na mahusiano yoyote na watoto wadogo hasa wakiume? wakati wowote ule?
4. Je! Padre kama mchagga alikuwa nafanya biashara yoyote akiwa Padre? kuzulumiana kukoje?
Nk NK

Sijakuelewa unachomaanisha, uchunguzi hauwezi kufanyika kwa namna unayopendekeza wewe, what is the basis for your hypothesis formation.!??
 
mambo yote haya aliye yaanzisha ni Ustadhi Ilunga wa Tabora , kwa kuubiri Chuki baina ya Ukristo na Uislam. yaani huyu jamaa ni hatari lakini Serikali inamwachia tu.

Yule katumwa na Serikali ya MRISHO,akisaidiana na BILAL, SAID,RASHID,MOHAMED wa Zenji,HAMAD wa Zenji, OTHMAN, SELEMAN wa kanda maalum and co. kwa hiyo hawawezi kumchukulia hatua kwa kuwa anatekeleza ajenda yao. Hak ya Tanzania wallah huyu mk.were hadi atoke madarakani atakuwa ametuvuruga Watanzania kwa kiasi kikubwa... Shame on him.
 
Imechukua miaka mingi kwa Padre kusomeshwa na kufikia apo.Afu wanywa kahawa wenye elimu ya chuo wamechukua roho yke iv iv. Mungu akupe pumziko la milele.

Mkuu una maanisha chuo gani ( Ilmu ya chuo au Elimu ya chuo kikuu)
 
Haki lazima ipatikane kwa jina la yesu kristo aliye hai
 
You should enter into peace when you are alive.

Wazazi wakitongozeana bar,mtoto akapatikana gesti kati ya mlevi mbuzi na mama aliekuwa addicted na kubakwa. Akazaliwa gheto na kutelekezwa kwenye mtaro wa maji machafu. Akajaku(t.usi) na mwalimu wa vile vyuo ... Akapotea kwenye msafara wa mwenge. Mwisho akalelewa na mjumbe wa shina.... LAZIMA ATAKUWA MTAMBO NA SIO MTU... Very sad !!!
 
The church, Pope and all good citizens of the globe, may accept my condolences! RIP father Mushi!
 
The church, Pope and all good citizens of the globe, may you accept my condolences! RIP father Mushi!
 
May his soul rest in eternal peace. We mourn till we join you father Evarist Mushi.
Those murders should know that no single drop of blood has gonne perishing Just like that. We are going to fast and certainly the Almighty God will answer our prayers.
 
Back
Top Bottom