Hii hoja ya kuwa hajamaliza form IV inatoka wapi? Au kuna CV zaidi ya moja imewekwa kwenye uzi huu? Cv ninayoiona mimi inasema kasoma O-level 1988-1991.
Ni kuhusu jina hili Idd Amin Dadaa. Kama sijakosea hiyo bold. hivi hilo neno dadaa lilitokana na nini? naamini ma great thinkers mtanisaidia kwa hilo..
asanteni sana
Jamani tuwe na tabia ya ku acknowledge tunapotumia kazi za watu, mnaweza kuona topic hii ni kazi ya mtu
katikla link hii Dinahicious-Sex, Relationships & Love: Mwanamke na kufika kileleni . Ni copy and paste
Wananchi hawastahili kubeba mzigo huu, sidhani kama wanapowachagua manyang'au walijua kuwa hii ndio itakuwa fadhila ya manyan'gau kwao. walienda na ahadi nyingi nzuri zikisema maisha bora kwa kila mtanzania yanawezekana. Walipewa Tshirt, vitenge, kanga na wale wajuaji zaidi waliambilia baiskeli..
Nadhani usugu wa tatizo hili mpaka kufikia hatua ya magari ya ikulu kuwekewa chakachua ni uthibitisho kwamba EWURA wameshindwa kutimiza majukumu yao. EWURA imepewa jukumu la kusimamia masuala ya umeme na maji.
Kama kuna mapungufu ya sheria ya sasa kwa kuweka adhabu ndogo kwa watu wanaouza...
Nimefuatilia hotuba aliyoitoa Waziri wa Fedha na Uchumi alipokuwa akiwasilisha Hali ya Uchumi asubuhi ya leo, anasema inflation kwa mwezi April ilikuwa ni 9.4%, mwezi May 7.9%, sijui nini kimesaidia kupunga inflation kwani hali ya chakula bado ni tete na mafuta ndio yanapanda siku hadi siku
Wakati wengi hatujaridhika na mwenendo wa kasi ya mtangamano wa EAC napenda kuwa kumbusha mambo mengine yanayoendelea ambayo sina hakika kama yamefanyiwa uchambuzi wa kina kujua faida na hasara kwa Tanzania. Nchi za SADC zimeshafikia hatua ya eneo huru la biashara(Free Trade Area) ambapo...
Hawa ni magwiji wa Economics na kazi zilizowapa ushindi kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita!!!
2009
Elinor OSTROM and Oliver E. WILLIAMSON
for her analysis of economic governance and for his analysis of economic governance, especially the boundaries of the firm
2008
Paul R. KRUGMAN
for his...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.