Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
akili mu kichwa watanzania wenzangu,badala ya kudhibiti mwizi tunamfunga aliyeibiwa ili asiibiwe tena.kichekesho kiko hapa.anaye chakachua atplani mpango mwingine baada ya mafuta ya taa kupanda.mfano akianza kuchanganya na maji itabidi ewura wawaambie dawasa wapandishe maji yalingane na petrol,je tutadhibiti vipi mto ruvu na mingine mingi na visima vilivyojazana nchi nzima au tutaongeza polisi wa kulinda maji?ewura wajibikeni acheni mambo ya ajabu.naomba mungu mgombea binafsi aruhusiwe muone.