Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
Tahadhari: Ruhusu mtu afike mbali kiasi hicho ikiwa mko kwenye mahusiano ya kuaminiana, huna mimba (inaweza kuleta matatizo), huna mpango wa kupata mimba (akiteleza kidogo tu pale imenasa).
.
Haya mambo ni bora sana yakafanywa na watu wenye mahusiano ya maana. Sasa kuna wengine wanawafanyia wanafunzi na kuwasababishia kuchanganyikiwa. Jamaa yangu mmoja alishasota Oysterbay zaidi ya mwezi kwa kucheza na sketi za shule. Ni mambo matamu lakini hatari saaana! Pia kama ni mke wa mtu (ambaye huwa anasikia kwenye hadithi) unaweza kuvunja ndoa ya watu, na kuhatarisha maisha yako.
Tujifunze lakini tujaribu kuangalia sana jinsi na mahali pa kuutumia huo ujuzi!