Ni hivi; miaka ile ya 1970 wakati Amin alipoipindua serikali ya Obote na Obote kukimbilia Tz. Idi Amin aliichukia nchi yetu sana. Na ktk hilo vijineno vingi sana vilikuwa vikirushwa kati ya watawala hawa wawili, yaani Nyerere na Amin. Chuki hizi zilipelekea vamizi kuu mbili toka Uganda. Katika mojawapo wa vijineno vilikuwa hivi, "Nyerere wewe ni mzuri sana ungelikuwa mwanamke ningelikuoa" Amin huyo. Naye Nyerere alijibu hivi, ' Amin Dada...' Kuanzia hapo tukaanza kumwita kwa jina la Dadaa. Kuna majina mengine kama nduli, joka, nk.
Mi niko tayari kwa lolote.Mh...sijui niamini translation ipi sasa....
Upo tayari kwa kupachikwa jina la Nduli? wewee taratibu utapachikwa majina shauri yako! ohoooMi niko tayari kwa lolote.
teh teh teeh miruzi mingi .................!!Mi niko tayari kwa lolote.
....hupoteza mmbwa!!teh teh teeh miruzi mingi .................!!