Recent content by loythebest

  1. L

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Duuh hii kitu ipo vizuri aisee. Tulikuwa tukiisoma tu chuoni Ila sikuwahi kujua kama ipo applicable. Asante sna mkuu kwa kunifungua kichwa
  2. L

    Uncle mimi nakumudu, Age ain't nothing but a number

    Story za wavuta ngada zinakera
  3. L

    Tanzanian beggars arrested in Nakuru

    Usiwe mshabiki wa vitu vya kijinga. Unataka kumaanisha kuwa Kenya hakuna masikini au hao beggars. Afrika tumekuwa na ufinyo wa mawazo kuanzia kwenye mambo ya kijamii hadi ktk maswala ya kiuchumi. Just thinking positive all the time. Beggars hawapo Tanzania pekee yake wapo Kenya na afrika kwa...
  4. L

    Kamatakamata ya Mateja:Kitale aamua kubadili jina haraka,Sasa sio Rais wa Mateja tena!!

    Kama mlikuwa mkiishi kama malaika sasa mtaishii kama mashetani.
  5. L

    Ukiota unapiga kelele na ukiomba msaada inashindikana, tatizo ni nini?

    Tatizo ni kutokupata msaada. Hilo ndo tatizo
  6. L

    Hotuba ya Rais Obama yawaliza wengi

    Hapo umenena! Amefanya mengi mazuri
  7. L

    Ukiona mwanamke analia wakati wa sex jiulize sana!

    [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Back
Top Bottom