Sidhani kama kuna mbadala wa ndoa.. Ndoa ni kuvumiliana humohumo mpaka kifo kinawatenganisha.. Mme/Mke kuwa na uhusiano pembeni, inawezekana ikawa sio mtafaruku wa ndoa.. Kuna mambo mengi ambayo huwafanya wanandoa kwenda nje ya ndoa zao. Kubwa zaidi ni tamaa ya mwili na sio kingine.. Mind you...
Huyo dada mlikuwa mnatakana siku nyingi, si ajabu hata usingeropoka angekugawia mwenyewe.. Maana hawa madada zetu wa siku hizi anaweza akakuzimia kwa kitu kidogo sana,, Je Huyo dada ana Mume? na wewe una mke au mchumba? ANGALIA usije ukaonja asali ukachonga na MBUYU kabisa..
'IKIMBIENI ZINAAA'
Pole sana.. Mimi wangu alikuwa hivyo na nilisumbuka sana, nilizunguka mahospital mengi tofauti kwa ushauri, lkn haikusaidia kitu. Alikuwa anamaliza chakula kidogo kwa mfano wa KONZI moja kwa karibu 5-6 hrs. Ila hivi sasa, analipiza kama alivyosema Mkuu PAKAJIMMY.. Anafukia kama katoka jela...
Kwa kuongezea hapo hapo!
Je waumini wake wameishiwa kwa sababu ya kumtolea MUNGU? Kama una uhakika na hilo, unaweza kulalamika.. Lakini Nina uhakika hakuna mtu aliyewahi kumtolea MUNGU kwa moyo wa ukunjufu akaishiwa. Na ndio matunda ya viongozi..
Je hao viongozi wengine wa duniani wana mali...
Si vizuri kwa mwanamke kukubali kirahisi kuolewa, ni muhimu sana kumjua anaoa ni nani.. Sasa basi, kile kipindi cha kutaka kujua nani anaeoa, ndio mwanamme hukumbia.. Mara nyingi wanawake waliokimbilia kuolewa haraka wamepatwa na matatizo tofauti, unakuta mwanamme anaekuoa kumbe alishaoa mara 2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.