Wakuu, naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri, kwani nina mtoto mdogo wa mwaka na miezi kumi hivi kula kwake ni kwa shida sana mpaka umlazimishe na analia sana, hali hiyo ni kila siku hasa inapofika wakati wa kula.
Akipimwa wakati mwingine hana malaria!
Akipimwa wakati mwingine hana malaria!