Recent content by Linjeketu jr

  1. Linjeketu jr

    Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona

    Tatizo mnaficha vifo hamtaki watu wajue kuwa wanakufa kwa corona. Sasa kama mnaficha na mnasema corona hakuna unategemea ushauti atoe nani wakati hamtaki kukubali kwamba tatizo lipo? Kubalini ukweli na watu watatoa ushauri unaousema
  2. Linjeketu jr

    Kipara kimeanza kuota

    [emoji23][emoji23][emoji23]Pole mkuu,naona haujajikubali. Jikubali tu mahangaiko ya kunyoanyoa kisa kuficha upara ya nini? Mimi ni zaidi ya miaka 20 Sasa upo tu. Ninapotaka naacha nywele Kisha baadaye nanyoa,watu wameshanizoea[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  3. Linjeketu jr

    Napenda jinsi majina ya sinema za kitanzania yanavyotoa tukio zima la sinema

    Na kiingereza kinachotumika kuandika humo kwenye muvi,ni aibu Sana. Wangekuwa hata wanauliza kabla ya kuandika
  4. Linjeketu jr

    Napendekeza Katiba ya CCM irekebishwe ili Dkt. Magufuli aendelee kuwa Mwenyekiti hadi atakapoamua kung'atuka kama Nyerere

    Katika ninyi wanaCCM wote hakuna mwingine anayefaa? Mnatuumiza kwelikweli na huyu mtu wenu mnayetaka atawale milele
  5. Linjeketu jr

    Taarifa ya kusikitisha: Binti akiri kuwa alisingizia kubakwa na kupelekea mbakaji kufungwa jela miaka 60

    Hivi vitu vipo kweli kabisa. Yupo jamaa yangu mmoja ni Mwalimu alisingiziwa hivyohivyo. Mwalimu mkuu wake akashinikiza bonti amtaje huyu mwalimu akahukumiwa miaka thelathini,baadaye ikakatwa rufaa na mtoto akapimwa DNA ikagundulika tofauti. Mzazi wa binti anakiri kulazimishwa na Mwalimu mkuu...
  6. Linjeketu jr

    Nimetupa kiatu cha mke wangu nikidhani ni cha mwanamke niliyempa lift siku iliyopita

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hataree, hata haujakagua leo alivaa kiatu gani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28]mwisho wake ikawaje sasa????
  7. Linjeketu jr

    Naomba kuelekezwa napoweza pata Salary slip

    Mkuu ingia kwenye salary portal ya wizara ya fedha jisajili utapata unachokitaka.
  8. Linjeketu jr

    Mwaka 1999 kurudi nyuma ilikuwa ngumu sana kuchaguliwa shule ya Sekondari ya Serikali. Waliobahatika walijulikana kata nzima. Je, wewe ni mmoja wao?

    Duh unanikumbusha mbali. Shuleni kwetu tulifaulu watatu tu tena wavulana. Ukienda private unaonekana hauna kitu[emoji23][emoji23]
  9. Linjeketu jr

    Mnaokaa mbali na wake zenu, ataliwa tu! Mjiandae kisaikolojia

    Mwanamke akiamua,uwe mbali au karibu kuliwa kupo tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wote tujiheshimu na kujitunza
  10. Linjeketu jr

    Waziri wa Afya, Dkt. Gwajima apiga marufuku maiti kuzuiwa Hospitalini kutokana na madeni

    Kweli siasa zetu mbovu zinachanhia kuvuruga mambo. Mbunge anatuambia akina mama waende kujifungua bila kununua vifaa. Wanaambiwa watapewa hukohuko hospitali Hospitali hakuna panadol Wala bendeji,sembuse vifaa vya kujifungulia? Tunadanganywa jamani bajeti yenyewe finyu na pesa haijaletwa miezi na...
  11. Linjeketu jr

    Njia rahisi ya kuandaa bajeti yako

    Asante kwa ujumbe was maana!!!
  12. Linjeketu jr

    Vihoja wanavyofanya mwaka wa kwanza pindi wanapoingia chuoni kwa mara ya kwanza

    Kwanza nzuri kwa mambo ya wizi chuoni kulinganisha na sanduku la kawaida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  13. Linjeketu jr

    Nitumie njia gani niisahau pombe?

    Mkuu naona unataka kumdedisha mwenzako. Flagyl na pombe haifai. Kuna namna ya kuacha pombe au kama angepata dawa fulani (nimeisahau jina) inaweza kumsaidia kuacha kunywa.
  14. Linjeketu jr

    Uongozi wa Chuo cha Afya Tanga, fanyeni kazi kwa weledi

    Pole,vyuo vyote vya serikali chakula ni kujitegemea ingawa awamu hii walipanga kuwe na chakula mchana lakini mambo si shwari hapasomeki. Bima ya afya inategemea na utoaji wa wanafunzi maana pesa zote za wanafunzi zinakusanywa na kupelekwa ofisi ya bima husika wao ndiyo wanaotengeneza...
  15. Linjeketu jr

    Rais Magufuli mulika Hospitali ya Mkoa wa Lindi ina madudu ya kutisha

    Hali ni ngumu kwenye hospitali zetu,wakati mwingine tupunguze kuwalaumu watendaji wetu. Maana hospitali haina hata dawa wala vifaa,halafu mkubwa wa hospitali pamoja na wanasiasa wanawaambia wafanyakazi mkiulizwa semeni dawa na vifaa vipo. Hivi hapo tunamdanganya nani? Kama hospitali itakuwa na...
Back
Top Bottom