Kwa nini usimuulize mwajili wako au Benki?Nawauliza waungwana hivi salary slip hazipatikani katika "salary slip.mof.go.tz naweza kuzipata wapi zaidi ya hapo
Mkuu ingia kwenye salary portal ya wizara ya fedha jisajili utapata unachokitaka.Nawauliza waungwana hivi salary slip hazipatikani katika "salary slip.mof.go.tz naweza kuzipata wapi zaidi ya hapo
ingia website ya tamisemi na wenyewe wanatoa salary slip kama upo chinibya tamisemiNawauliza waungwana hivi salary slip hazipatikani katika "salary slip.mof.go.tz naweza kuzipata wapi zaidi ya hapo
Salary Slip ukuje huku unatafutwa popote ulipo!
Kwa afisa utumishi wakoNawauliza waungwana hivi salary slip hazipatikani katika "salary slip.mof.go.tz naweza kuzipata wapi zaidi ya hapo
Daah watu bado wako nyuma sanaa pamoja na kukua kwa technology... Nilifanya kazi na shirika moja (NGO) yaani ikifika tarehe 27th. ya kila mwezi mshahara unasoma kwenye akaunti na baada ya siku 2 salary slip inaingia kwenye email yako.Kwa afisa utumishi wako
Hii ipo kwa watu ambao hawajajisajili na mfumo wa salary portalDaah watu bado wako nyuma sanaa pamoja na kukua kwa technology... Nilifanya kazi na shirika moja (NGO) yaani ikifika tarehe 27th. ya kila mwezi mshahara unasoma kwenye akaunti na baada ya siku 2 salary slip inaingia kwenye email yako.