Masquarrader
Member
- Aug 17, 2018
- 62
- 38
Rais Magufuli Mimi kama Mtanzania nachukua jukumu hili kukufahamisha kuwa hospitali ya mkoa wa Lindi Sokoine Ina watendaji/ viongoz wabovu kuwahi kutokea katika historia ya sekta ya afya mkoani Lindi.
Kwanza Kuna malalamiko kutoka karibu katika kila kada ya wahudumu wa hospitalini hapo ambapo baadhi ni Kama yafuatayo:
Wafanyakaz wengi hasa wahudumu wa afya, wauguzi ngazi mbali mbali Kama EN na RN, wataalam wa maabara n.k wahapewi haki zao mbalimbali kama za posho za ziada ya kazi, watu hawajapandishwa vyeo Zaid ya miaka 7, wengine wamejiendeleza kitaaluma kutoka wahudumu wa afya mpaka kufikia kuwa ENROLLED NUSE na REGISTERED NURSE tangu mwaka 2015 lakin hawajafanyiwa mabadiliko ya kimuundo wala vyeo wala kubadirishiwa mishahara yao.
Aidha mganga mkuu wa mkoa hataki kusikiliza mfanyakaz shida zake na hata wengine wakienda kwa mkuu wa mkoa kutoa malalamiko wanaishia kusemwa kwa mganga mkuu na mwisho mfanyakaz huyo atakomolewa kwa kila namna. Ipo mifano mingi ya walioenda kuonana na RC lakini wakaambulia kufululiza zamu za usiku Hali inayoonesha RC na RMO ni Pete na kidole.
Kutokana na Hali hiyo, kila mfanyakaz anaogopa kuongea kwa hofu ya kuadhibiwa, na wengine Wanaoanga kwenda ofisi za usalama wa taifa kutoa malalamiko yao wanaishia kuogopa isije yakarudi Kama yalivyo kwa RMO maana hawajui wapi kupo salama kupeleka malalamiko yao
Kifupi hawana ari ya kaz hasa kada nilizotaja na kwa upande wa madaktari ni wale wanaoonekana kuwa na kelele na ujasiri huwa wanaitwa na RMO na kupozwa basi mengine yanaendelea. Wabapozwa kwa kufaham kuwa Wana uelewa wa wapi wakaseme hivyo jwa vile wanaweza kuleta udhia wanapenyezewa Rupia.
Ndugu Rais kitu cha ajabu ambacho wafanyakaz Hawa wanashangaa tangu Serikali yako iingie madarakani mwaka 2015, hakuna kiongoz wa kitaifa aliyeingia pale na kusikiliza changamoto za kiutendaji wala miundombinu, wewe binafsi mwaka 2019 uliahid kwenda huku ratiba yako ikionyesha ungefika kanisan RC Mtanda ukasali yakafanyika maandaliz yote ukaondoka juu kwa juu, waziri mkuu ambae ndio kwao hajawahi hata siku moja kukanyaga maeneo ya hospitali hiyo, aliyekuwa waziri wa afya UMMY MWALIMU alijaribu kuingia kwa kupitia mlango wa nyuma akafanikiwa lakini hakufikisha dakika kumi akaondoka bila kuongea na wafanyakazi.
Ndugu Rais wapo wanaoamin uongozi wa hospitali hiyo ni washirikina Sana kiasi hawako tayari kuona viongoz mnafika pale na kuhoji MADUDU yanayoendelea Kwan RMO yuko bize kujenga maghorofa yake mtaa wa Mtanda huko juu.
Hadi inaaminika hospitali hapo miongoni nwa wafanyakaz kuwa huenda WAKUBWA wote hamtafika hapo tofauti na RC mwenye ukaribu na RMO (Waarabu wa Pemba) na kwamba hata ule moshi uliletewa ukiwa njian kutoka ruangwa unaelekea Lindi 2019 inaaminika ulitoka kwa viongoz wa hapo Sokoine kwa kushirikiana na RC Zambi anayesadiki vitendo vya dhambi Kama matamshi ya jina lake ( huyu mchunguze vizuri ana mambo mengi hata kwenye vyama vya ushirika wanamtaja Sana).
Ndugu Rais, pole kwa kukuchosha lakin najua unavyanzo vingi kuliko mm, fatlia haki za kiutumishi na kimaslah za wafanyakaz wa hospitali hii yenye miungu watu Kwan wanaogopa hata kuja kwako wakihofia pengine badala ya kupata haki wanaishia kufukuzwa kutokana na wanavyofananisha msululu wa matukio.
Baadhi ya majina ya watumishi ninayo na nyaraka zao walizolalamika kwa viongoz mbalimbali imeshindikana hadi wengine kushauriwa wakalalamike Usalama wa taifa na kukosa ujasiri wa kufanya hivyo. Ukihitaji hayo hata kwa mguu nitakuletea Chamwino unaunguza Sana watu wanavyoteseka.
Fikiria mtu amebadilishiwa muundo 2015 hakuna mabadiliko hata ya mshahara maana yake haki yake ya kupanda cheo 2018 ameikosa na mwakani Anaweza asipande tena na akifa anapata mapato ya mshahara wa sasa wa laki 6 wakati alitakiwa awe kuanzia milioni moja na laki 4 huko, mbona yule nesi mrembo wamesoma nae wote yeye alishabadirishiwa vizur na anaish safi au tuwaalike akina Mbugo wa PCCB? hata wakialikwa Nani wa kutolea maamuz ya wafanyakaz Hawa.
Ndugu Rais tunakupenda Sana hasa kwa style yako ya kujali wanyonge na kujitoa kisafisha uozo Serikalin na bado tunaiman kubwa na wewe. Allah akujaalie kheri, afya ukakamavu wa kumshinda shetani aliyetawala SOKOINE HOSPITAL Lindi ili kuepusha madhara kwa wanaofuata huduma za afya hospitalini hapo
Kwanza Kuna malalamiko kutoka karibu katika kila kada ya wahudumu wa hospitalini hapo ambapo baadhi ni Kama yafuatayo:
Wafanyakaz wengi hasa wahudumu wa afya, wauguzi ngazi mbali mbali Kama EN na RN, wataalam wa maabara n.k wahapewi haki zao mbalimbali kama za posho za ziada ya kazi, watu hawajapandishwa vyeo Zaid ya miaka 7, wengine wamejiendeleza kitaaluma kutoka wahudumu wa afya mpaka kufikia kuwa ENROLLED NUSE na REGISTERED NURSE tangu mwaka 2015 lakin hawajafanyiwa mabadiliko ya kimuundo wala vyeo wala kubadirishiwa mishahara yao.
Aidha mganga mkuu wa mkoa hataki kusikiliza mfanyakaz shida zake na hata wengine wakienda kwa mkuu wa mkoa kutoa malalamiko wanaishia kusemwa kwa mganga mkuu na mwisho mfanyakaz huyo atakomolewa kwa kila namna. Ipo mifano mingi ya walioenda kuonana na RC lakini wakaambulia kufululiza zamu za usiku Hali inayoonesha RC na RMO ni Pete na kidole.
Kutokana na Hali hiyo, kila mfanyakaz anaogopa kuongea kwa hofu ya kuadhibiwa, na wengine Wanaoanga kwenda ofisi za usalama wa taifa kutoa malalamiko yao wanaishia kuogopa isije yakarudi Kama yalivyo kwa RMO maana hawajui wapi kupo salama kupeleka malalamiko yao
Kifupi hawana ari ya kaz hasa kada nilizotaja na kwa upande wa madaktari ni wale wanaoonekana kuwa na kelele na ujasiri huwa wanaitwa na RMO na kupozwa basi mengine yanaendelea. Wabapozwa kwa kufaham kuwa Wana uelewa wa wapi wakaseme hivyo jwa vile wanaweza kuleta udhia wanapenyezewa Rupia.
Ndugu Rais kitu cha ajabu ambacho wafanyakaz Hawa wanashangaa tangu Serikali yako iingie madarakani mwaka 2015, hakuna kiongoz wa kitaifa aliyeingia pale na kusikiliza changamoto za kiutendaji wala miundombinu, wewe binafsi mwaka 2019 uliahid kwenda huku ratiba yako ikionyesha ungefika kanisan RC Mtanda ukasali yakafanyika maandaliz yote ukaondoka juu kwa juu, waziri mkuu ambae ndio kwao hajawahi hata siku moja kukanyaga maeneo ya hospitali hiyo, aliyekuwa waziri wa afya UMMY MWALIMU alijaribu kuingia kwa kupitia mlango wa nyuma akafanikiwa lakini hakufikisha dakika kumi akaondoka bila kuongea na wafanyakazi.
Ndugu Rais wapo wanaoamin uongozi wa hospitali hiyo ni washirikina Sana kiasi hawako tayari kuona viongoz mnafika pale na kuhoji MADUDU yanayoendelea Kwan RMO yuko bize kujenga maghorofa yake mtaa wa Mtanda huko juu.
Hadi inaaminika hospitali hapo miongoni nwa wafanyakaz kuwa huenda WAKUBWA wote hamtafika hapo tofauti na RC mwenye ukaribu na RMO (Waarabu wa Pemba) na kwamba hata ule moshi uliletewa ukiwa njian kutoka ruangwa unaelekea Lindi 2019 inaaminika ulitoka kwa viongoz wa hapo Sokoine kwa kushirikiana na RC Zambi anayesadiki vitendo vya dhambi Kama matamshi ya jina lake ( huyu mchunguze vizuri ana mambo mengi hata kwenye vyama vya ushirika wanamtaja Sana).
Ndugu Rais, pole kwa kukuchosha lakin najua unavyanzo vingi kuliko mm, fatlia haki za kiutumishi na kimaslah za wafanyakaz wa hospitali hii yenye miungu watu Kwan wanaogopa hata kuja kwako wakihofia pengine badala ya kupata haki wanaishia kufukuzwa kutokana na wanavyofananisha msululu wa matukio.
Baadhi ya majina ya watumishi ninayo na nyaraka zao walizolalamika kwa viongoz mbalimbali imeshindikana hadi wengine kushauriwa wakalalamike Usalama wa taifa na kukosa ujasiri wa kufanya hivyo. Ukihitaji hayo hata kwa mguu nitakuletea Chamwino unaunguza Sana watu wanavyoteseka.
Fikiria mtu amebadilishiwa muundo 2015 hakuna mabadiliko hata ya mshahara maana yake haki yake ya kupanda cheo 2018 ameikosa na mwakani Anaweza asipande tena na akifa anapata mapato ya mshahara wa sasa wa laki 6 wakati alitakiwa awe kuanzia milioni moja na laki 4 huko, mbona yule nesi mrembo wamesoma nae wote yeye alishabadirishiwa vizur na anaish safi au tuwaalike akina Mbugo wa PCCB? hata wakialikwa Nani wa kutolea maamuz ya wafanyakaz Hawa.
Ndugu Rais tunakupenda Sana hasa kwa style yako ya kujali wanyonge na kujitoa kisafisha uozo Serikalin na bado tunaiman kubwa na wewe. Allah akujaalie kheri, afya ukakamavu wa kumshinda shetani aliyetawala SOKOINE HOSPITAL Lindi ili kuepusha madhara kwa wanaofuata huduma za afya hospitalini hapo