Recent content by LINCO

  1. L

    Njia Nne ambazo Droni Zinaweza Kusaidia Maisha Sana

    Droni, au ndege ndogo zisizokuwa na rubani zimekuwapo kwa muda mrefu sasa na pengine wengi wameziona zikifanya kazi hasa katika masuala ya vita – kwa mfano vita dhidi ya majangili hapa Tanzania. Ukweli ni kwamba ni watu wachache tu wa kawaida wanaweza kuwa na taswira ya jinsi gani hivi vifaa...
  2. L

    Ni mtanzania yupi maarufu zaidi?

    Kwa wakati upi huo hata hayati mwl nyerere ni maarufu hkuna asiyemjua katika historia
  3. L

    Wasanii wanaodaiwa kutumia madawa ya kulevya, ni yupi anayekusikitisha?

    Ukianza kuwa punda utakula na majani.. ..kma ndo wabebaji bas kutumia n jamb ambalo halikwepi
  4. L

    kusoma sana na kukonda(kupungua mwili) ama kusikia njaa..

    KaMa kichwa cha habar hapo juu nakumbka nikiwa shule nlishuhudia watu wanapiga msuli mrfu wengi hupungua mwili kukonda japo kula wanakula vilevile kusikia njaa baada ya kupiga msuli...Hii hali inatokana na nini
  5. L

    TUMAINI - Filamu Mpya Iko Jikoni

    TUMAINI TWA KUKU NI TUTAMU KULIOKO TWATWA NG'OMBE
  6. L

    Paka maarufu na anayekimbiza kwa followers instagram

    Dunia hii haishi maajabu paka kwa jina la Manny anayepiga selfie muda mwingine akiwa katika pozi la peke yake au na wanyama wengine. Paka huyo wa mji wa Arizona ameweza kujizolea umaarufu mkumbwa kwenye mitandao wa kijamii kwa kuwa na page yake instagram @yoremahm) kwa sasa ana zaid ya130,000...
  7. L

    Naomba kujua uhusiano wa Kipara na utajiri

    Ndo yale wenye kuvaa miwan anaakiili
  8. L

    Maajabu huko China...

    China inatarajiwa hivi karibun kukumbwa na hali ya baridi kali katika kipindi hiki cha masika licha ya hayo yote kumetokea vitu vya kuastaajabisha kutokana na watu mbalimbali nchini humo kufanya michezo ya hatari kwenye barafu iliyoganda Mwanamke akiogolea kwenye mto Songhuajiang ulioganda kwa...
  9. L

    Uongo mwingine bwana

    'Baby I swear sikudanganyi, wewe ni Mwanaume wangu wa Pili, nimekaa muda mrefu sana baada ya kuachana na EX wangu wa kwanza, yaani nilimpenda (anazuga kulia na kamasi kidogo), maana aliniumiza sana sana kwakweli hadi nililazwa KCMC wiki 2, mpaka nikahisi roho inataka kuchomoka.. Yaani ungewahi...
  10. L

    Mke wangu analeta kiburi, hataki niongeze mtoto wa sita

    Ngoja kibarua kiote nyasi ndo utaelewa we unategemea mshahara wa kaz
  11. L

    Zijue aina 10 za ndoa

    Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa. 1. NDOA YA MKEKA Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu. Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua hawakuwa wakipendana! 2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE) Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati mume18 mke...
  12. L

    Ulimwengu wa future ukoje?

    Habari zenu wakuu, Kuna kitu kinaitwa future ningepende kufahamu ni ulimwengu wa namna gani? na unakadiriwa kutokea baada ya miaka gani ijayo? na ikitokea hakutakua na future nyingine tena? Vitu gani na maisha gani ambayo watu wa kipindi hicho watakuwa wanaishi? nini madhara na faida yake? na...
  13. L

    Lemutuz amwaga mamilioni huko instagram

    Hahahahahha mkuu umenfrhsh sna
  14. L

    Kinadada acheni kumsumbua Mungu

    Hyo mimba mnapata kwa tamaa zenu za kijinga jinga unamkimbia mtu mwnye malengo mazur na ww ila kisa hana kidgo bas ndo hafai
  15. L

    Kinadada acheni kumsumbua Mungu

    Kwahiyo mmekubali kuwa mnachofanya nimakosa ndo inabidi mbadilike
Back
Top Bottom