g click
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 2,427
- 510
Hahahaaa daa umeua aseeHapo daftari limekutana na mwanafunzi wa o level....umeandika baba
Hahahaaa daa umeua aseeHapo daftari limekutana na mwanafunzi wa o level....umeandika baba
Hao wadada wanajizilisha bila mbegu za kiume? Lait Mungu angekua anawapa mimba na ninyi. Nina uhakika mngechakaa kuliko hao wadada. Na ashukuriwe Mungu cz hawaz kama uwazavyo. Hao hao unao waita scrper Mungu anawaangalia cz wamemrudia Mungu na Mungu atawarudishia miaka yao yote iliyo liwa na nzige. Wadada mlio okoka msiache kuomba. Omba saana cz Mungu si binadamu alimleta Yesu kristo kwa ajili ya wagonjwa na sio wazima. Na kwaajil ya wenye dhambi na sio wasafi. Bwana Yesu asifiwe.
wamekata tamaa wamegeuka mashimo ya taka.. Wanatupiwa kila aina ya uchafu...hawajitambui na hawajielewi.. wapo zaidi ya tunavyowaelewa.. wachache tu ndio wanaojitambua
majamaa bado mpo tu mnatoa somo, haya bhana mi napita tu :aeroplane:Kiongozi, hawa Mourinho anawaita "specialists in failure", vijana wanajigongea tu ovyo then utasikia wakiongea kwa kizungu, "I can't keep a man", huku jamaa wanatafuna tu...
Hyo mimba mnapata kwa tamaa zenu za kijinga jinga unamkimbia mtu mwnye malengo mazur na ww ila kisa hana kidgo bas ndo hafai
Kiongozi, hawa Mourinho anawaita "specialists in failure", vijana wanajigongea tu ovyo then utasikia wakiongea kwa kizungu, "I can't keep a man", huku jamaa wanatafuna tu...
Duh nilijua thread imekwisha kumbe bado mnatoa 'somo' ???!!!! Ngoja waje....wamekata tamaa wamegeuka mashimo ya taka.. Wanatupiwa kila aina ya uchafu...hawajitambui na hawajielewi.. wapo zaidi ya tunavyowaelewa.. wachache tu ndio wanaojitambua
siku hizi matusi wameyageuzia whatsAP dk anatukana kama amemwagiwa pilipiliDuh nilijua thread imekwisha kumbe bado mnatoa 'somo' ???!!!! Ngoja waje....
wanaongoza kwa kunitukana whatsAP tena matusi ya aibu.. hapo ndopo nikagundua kuwa kumbe limewauma sana hasa yule dk na mkeo wa zamaniKiongozi, hawa Mourinho anawaita "specialists in failure", vijana wanajigongea tu ovyo then utasikia wakiongea kwa kizungu, "I can't keep a man", huku jamaa wanatafuna tu...
wanakutukana wapi mkuuwanaongoza kwa kunitukana whatsAP tena matusi ya aibu.. hapo ndopo nikagundua kuwa kumbe limewauma sana hasa yule dk na mkeo wa zamani
Teh teh...mke wangu wa zamani? Ibra bwana. Sasa we ya huko whatsapp umeyajuaje kiongozi?wanaongoza kwa kunitukana whatsAP tena matusi ya aibu.. hapo ndopo nikagundua kuwa kumbe limewauma sana hasa yule dk na mkeo wa zamani
namba yangu wanayo mkuu kama huamini ni pm namba nikutumie screen shortTeh teh...mke wangu wa zamani? Ibra bwana. Sasa we ya huko whatsapp umeyajuaje kiongozi?
brenda yamemuuma kanifuata whatsAP kaja kutukana mpaka basi harafu cha ajabu anaandika eti muonee huyo huyo sumbai. nikajiuliza namuoneaje? sijapata pcwanakutukana wapi mkuu
Nami nitumie mkuu. Ukisoma comments za watu pamoja na kutumia fake ID unatambua tabia zao.brenda yamemuuma kanifuata whatsAP kaja kutukana mpaka basi harafu cha ajabu anaandika eti muonee huyo huyo sumbai. nikajiuliza namuoneaje? sijapata pc
mkuu ni pm namba zakoNami nitumie mkuu. Ukisoma comments za watu pamoja na kutumia fake ID unatambua tabia zao.
mkuu ilikuwaje ukatoa namba kwa vilaza kama haomkuu ni pm namba zako
Lol nilijua imeisha pia kumbe bado watu wanatoka jasho humuDuh nilijua thread imekwisha kumbe bado mnatoa 'somo' ???!!!! Ngoja waje....
Hayo ni mambo madogo ibra, relax!!!namba yangu wanayo mkuu kama huamini ni pm namba nikutumie screen short
nimekuelewa kakaHayo ni mambo madogo ibra, relax!!!
we kama hujatoa namba kwa hao vilaza ni kwa sababu we si kilazamkuu ilikuwaje ukatoa namba kwa vilaza kama hao