Nyie mnalia nini....wenzenu hata kazi hatuna ila tumekua wapole sasa nyie kazi mnayo ila mnataka kuongezewa mshahara hamuoni ilo linachangia wenzenu tusiajiliwe kabisa...we mwaka wa ngap huu umeajiliwa ila bado hujaweza kujiajili ili uongeze kipato, acheni uzembe fanyeni kazi kwa ubunifu
Sent...
Kwa ngoma gani anayotusua?mondi alikua zaman siku hizi anafanya mchezo wa ku-copy na ku-paste tu kwa kifupi anafanya comedy,kama ww ni msema kweli niambie ni ngoma ipi mondi kuanzia 2014 kafanya ya kipekee pasipo ku-copy ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman wana JF habarini.!mwenzenu naomba kuuliza juu ya ukusanyaji wa zile 300/= zetu pale langoni kuingia stand, Je zina tija kweli maana sioni kazi yake kama tunavyoona wenyewe stand jinsi ilivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.