Jestkilla
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 2,999
- 3,961
Umewai tumia wap au mlikutana wote mambulula hzo sim zinaitaji watu ambao akili iko active sio sim urembo
Ndugu kawaida ya watu wa ios huwa ni kujifariji hakuna simu ya maana kama hiyo,hii ni baada ya kutandikwa bei iliyotukuka.
Ukweli ni kwamba hizi simu sio tu zinaboa,ni kama hazikuwa kwa ajiri ya waafrika.
Ndugu kawaida ya watu wa ios huwa ni kujifariji hakuna simu ya maana kama hiyo,hii ni baada ya kutandikwa bei iliyotukuka.
Ukweli ni kwamba hizi simu sio tu zinaboa,ni kama hazikuwa kwa ajiri ya waafrika.
Mzee nmeupdate iphone 6s yng ikapanda ios 11.0 duh hawa jamaa ni hatari. Wameongeza security sanaaaaView attachment 580223

Yah,ili ikamilike inahitaji detail zako,sasa ukijaza kihuni huni tu,siku zikihitajika umesahau ulijazaje.......ni tatizo kubwa.
Si bei ukiringanisha na gari sio na simu zingine zenye kazi kama yake.Utanzania kazi kweli kweli stori za vijiweni bwana nan alikuambia iphone ni bei.?
Hivi kumbe? Mimi najua currently ni 10:3:3 16G60 kumbe ipo hadi 11![]()
Labda hyo 11 kama anatumia beta ambayo ina bugs mpaka kero na ni developer
Hawezi teka soko la africa bana.Et waafrica ahaaaaaaa hii kali sana mbona zimejaa haswa africa na soon ataliteka hili soko na kama zinaboa why ndo topseller wa sim dunian keshokutwa anatoa zingine
Si bei ukiringanisha na gari sio na simu zingine zenye kazi kama yake.
Labda
Wala hujakosea.Wanaotumia apple products walio na akili kama sisi hawanunui jus for show off na umbuluka mwingine wananunua kwa kazi maalumu kwa mfano wewe hii leo nikakupa ipad na n fundi viatu utafanyia nin zaid ya kuchezwa game na ndo apple wanatoa products zao kulingana na matumizi maalum natumia iphone najua kwa sabab gan hiv unajua wana zile desktop zao tunaita Mac zipo mpaka mil 14..?? Lakin wewe mbulula ukinunua ile utaanza angalizia movies za X kumbe zina kaz zake
Wala hujakosea.
Ndio maana kuteka soko la africa haitawezekana.
Una maana gan bint?Swali lako la kwanza kule juu nilijua tu n mtu wa aina gani...
Una maana gan bint?
Nikushauri kitu achana, na hizi simu utashikwa kama MBWA my uncle kaibiwa iPhone6+ imekaa miezi 8, mwizi kashikwa akiwa mkoani this wiki kanyang'anywa simu amewekwa rumande akaambiwa akamtafute mwizi amlete..! Ni ujinga aisei...Dear wana jamii forums. Zaidi ya miaka mitatu hivi nilikuwa naondoa lock za icloud kwa asilimia zaidi ya 70%. Yaani ukiniletea simu 10 zenye icloud, 7 nilikuwa naweza kuzifungua. Lakini kuanzia mwezi wa 7 mwaka huu 2017, especially simu mpya kama iphone 6s plus na 7 zimekuwa ngumu sana kuzifungua. Je! kuna yeyote hapa tunaweza kushirikiana ujuzi na uzoefu wa jinsi ya kuzifungua? Trust me. Hii ni biashara nzuri sana kwasababu ni kilio duniani ukiweza kufanikiwa kufungua angalau mbili kwa siku you will never be the same. Njoo tuzungumze
Mkuu wewe ndiye umenenaKuna simu zinakubari chomoka aisee hata mimi nimeshuhudia sema sometimes inakuwa temporary uki update au ireset tu inajirudia kama awali
Nikushauri kitu achana, na hizi simu utashikwa kama MBWA my uncle kaibiwa iPhone6+ imekaa miezi 8, mwizi kashikwa akiwa mkoani this wiki kanyang'anywa simu amewekwa rumande akaambiwa akamtafute mwizi amlete..! Ni ujinga aisei...