Samahanini wakubwa, vipi dirisha la kudahili wanafunzi kwa mwezi machi limeshafunguliwa? Naomba tujuzane maana wengine tupo vijijini. Ahsanteni! Mwaka wa masomo 2017/2018
Mungu ataendelea kuwa Mungu tu hata kama hajatenda unavyotaka. Cc ni wanadamu ww ni nan mpka uthubutu kusema mambo hayo! Kasome mithali ``Ulimi ni kiumbe kidogo sana lkn"!! Utamaliziaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.