lemidius mbalwohi
Senior Member
- Jun 17, 2015
- 102
- 21
Mnataka kugoma wakati intake nyingi zinalilia ajira!! Nashangaaaaa!!! Nashangaaaaaaaaa!!!?
Walishagoma zamani za Kikwete, naona wanaumbushia baada ya kuingiwa na roho ya huruma.Mgomo mzuri ni WA kimya kimya, yaani wa kisaikolojia.walimu wafanyekazi kulingana na malipo yao, fundisheni mada ziishe ila mtoto atoke kapa. Mwisho WA siku hata wapigakura wetu wataisoma kupitia matokeo ya watoto wao.
Wapo wengi 99% hawaelewi kama kesho kuna mgomo.mbona nipo na mwalimu hapa haelewi kama kesho kuna mgomo yupo tu hapa anapepesa macho tu
Wewe wacha zako hizoGomeni muone kuna wenzenu wana miaka 2 nyumbani hawajaajiriwa gomeni sasa
Huku pwani huwa twasema ukisusa wenzio twala! Waache wasuse tuone kama walaji hawatapatikana! Hizi ni enzi za kazi! Kama huwezi kazi piga chini!Gomeni muone kuna wenzenu wana miaka 2 nyumbani hawajaajiriwa gomeni sasa
Mgomo kimya kimya ndo madudu gani.. Fanyeni kama wakenya.. Kila kitu kiwe wazi..Mgomo mzuri ni WA kimya kimya, yaani wa kisaikolojia.walimu wafanyekazi kulingana na malipo yao, fundisheni mada ziishe ila mtoto atoke kapa. Mwisho WA siku hata wapigakura wetu wataisoma kupitia matokeo ya watoto wao.
Hakuna mwalimu wa kugoma keshoWalimu wenzangu, hakuna haja ya kugoma kwa sababu ni sawa na kukata tawi la mtiulilokalia. Tafadhali sana hususani vijana wenzangu tunatakiwa tutambue kuwa UALIMU NI WITO!
Una akili sanando mana nliamua kujiajir...
We acha kusoma shabikia mgomo uje uzungusha Kama Kaka BashiteMi naona wagome tuu, na sisi wanafunzi tutawasaidia
Wewe na naniTunagoma
Tatizo ukiwa na cheti feki Una kuwa mtumwa huwezi kufurilukutaWapo wengi 99% hawaelewi kama kesho kuna mgomo.
Hata vyeti vikiwa halali utafanya kazi gani? huku kitaa tuachieni sisi tuliozoea.Tatizo ukiwa na cheti feki Una kuwa mtumwa huwezi kufurilukuta
Private sector au Hata nje ya nchi Kama upo vzr kazi zipo nyingi ila kwa UBASHITE huu sio rahisiHata vyeti vikiwa halali utafanya kazi gani? huku kitaa tuachieni sisi tulizoea.