Eti shetani kanipitia!!!!?

Eti shetani kanipitia!!!!?

Mleta mada anataka kujua kupitiwa na shetani hasa ndiyo inakuaje? sidhani kama kataka kujua nani aliyemtengeneza shetani,hata jambo la uongo pia lina elezwa na mtu anaelewa ila wewe unaona habari za shetani ni uongo ila hujui ni vp maana ya mtu kupitiwa na shetani na pengine ndiyo maana huwezi kuelezea.



Halafu pia mkuu sasa kama hizo dini ni za wazungu na waarabu ilikuwaje zikawepo mataifa mengine wasio wazungu wala waarabu?


Haaaaa haaaaa haaaaa.

Dini za wazungu koko na waarabu pori zimefika kwenye mataifa mengine kwa sababu ya upoyoyo wa mataifa mengine yaliyokubali dini uchwara za wazungu.

Any way, religion it is the opium of the people.
 
Haaaaa haaaaa haaaaa.

Dini za wazungu koko na waarabu pori zimefika kwenye mataifa mengine kwa sababu ya upoyoyo wa mataifa mengine yaliyokubali dini uchwara za wazungu.

Any way, religion it is the opium of the people.
Mkuu kwa kushindwa kwako kueleza mambo inatia mashaka hata uelewa wako katika haya unayoyaeleza,umeshindwa kueleza ni vp shetani anampitia mtu ukaishia kuleta habari za dini za wazungu na waarabu na nilipokuuliza imekuaje dini za wazungu na waarabu zikawepo mataifa mengine unaishia kusema ni upoyoyo.

Huko ni kujitia ujuaji mwingi kwa usichokijua mkuu.

Nakumbuka pia niliwahi kukuuliza umelelewa maisha yenye misingi gani? ila ukaishia kusema ulikuwa unapelekwa shule na kurudishwa nyumbani...hahaha mkuu unafurahisha kwa kweli.
 
Mkuu kwa kushindwa kwako kueleza mambo inatia mashaka hata uelewa wako katika haya unayoyaeleza,umeshindwa kueleza ni vp shetani anampitia mtu ukaishia kuleta habari za dini za wazungu na waarabu na nilipokuuliza imekuaje dini za wazungu na waarabu zikawepo mataifa mengine unaishia kusema ni upoyoyo.

Huko ni kujitia ujuaji mwingi kwa usichokijua mkuu.

Nakumbuka pia niliwahi kukuuliza umelelewa maisha yenye misingi gani? ila ukaishia kusema ulikuwa unapelekwa shule na kurudishwa nyumbani...hahaha mkuu unafurahisha kwa kweli.

Labda nikupe taarifa hii,

Dini zote ni uongo.

Dini ni za watu walioshindwa kupambana na hali za maisha yao.
 
Labda nikupe taarifa hii,

Dini zote ni uongo.

Dini ni za watu walioshindwa kupambana na hali za maisha yao.
Tatizo lako ndiyo hilo unapenda uropoke tu kama hivyo ila hapo nikitaka ufafanuzi wa maelezo yako ndipo inapokuwa shida.

Msioamini mungu au dini mnakuwa kama mna matatizo ya kisaikolojia yani ni kama watu wenye kuishi maisha ya kufeki,na matokeo ya kushindwa na kupambana na hali zenu ndipo mnapokuja kutokwa mapovu humu na kutoa maelezo yasiyo na uhalisia.
 
watu bwana kila dhambi inayofanyika kuna mkono wa shetani, hadi shetani mwenyewe anashangaa

be___blessed
Ila kuna usemi kuwa chanzo cha dhambi ni huyo shetani ambaye alikuwa malaika then akaasi huko mbinguni! Kwa hiyo inawezekana akawa responsible kwa dhambi zetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda nikupe taarifa hii,

Dini zote ni uongo.

Dini ni za watu walioshindwa kupambana na hali za maisha yao.
Kama dini zote ni uongo, je ukweli ni upi? Ina maana unataka kusema haya maisha yanajiendesha yenyewe bila Muweza wa yote? Kiukweli utakua hauko siriasi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama dini zote ni uongo, je ukweli ni upi? Ina maana unataka kusema haya maisha yanajiendesha yenyewe bila Muweza wa yote? Kiukweli utakua hauko siriasi!

Sent using Jamii Forums mobile app


Acha porojo.

Dini zote ni uongo mfano, Saudia kuwakataza mahujaji kutoka Quarter na apo hapo Saudia inajitanabahisha kuwa nchi ya kidini, tena watu wake wote ni wa dini hiyo.

Sasa , unamkataaje mtu wa dini yako iyo hiyo asije kuabudu kama Kweli huyo Allah ni Mungu kwa nini tuwekeane vikwazo kwenye sala za dini!?


Maisha yanajiendesha kwa kile unachokifanya wewe au binadamu mwingine anachokifanya kwa hiyo acha porojo.

Mfano, kaa nyumbani kwako bila kufanya chochote ndiyo utatambua kama hizo nguvu unazosema zitaweza kukuwekea Mkate mezani.

Dini zenyewe zinataka hela mbona pesa hazishuki au kuokotwa tu na dini!?


Any way, dini ni uongo na porojo za wazungu koko na warabu pori. Sasa, sisi waafrika tumejitwisha bila kuhoji.
Mfano, hadi Hapo Tanzania, dini moja ya wazungu koko, umekataa kumzika billionaire Mrema, pale Arusha .

R.I.P Mrema, na pole sana wafiwa na poleni sana kwa kuumizwa na dini uchwara za wazungu koko .
 
Acha porojo.

Dini zote ni uongo mfano, Saudia kuwakataza mahujaji kutoka Quarter na apo hapo Saudia inajitanabahisha kuwa nchi ya kidini, tena watu wake wote ni wa dini hiyo.

Sasa , unamkataaje mtu wa dini yako iyo hiyo asije kuabudu kama Kweli huyo Allah ni Mungu kwa nini tuwekeane vikwazo kwenye sala za dini!?


Maisha yanajiendesha kwa kile unachokifanya wewe au binadamu mwingine anachokifanya kwa hiyo acha porojo.

Mfano, kaa nyumbani kwako bila kufanya chochote ndiyo utatambua kama hizo nguvu unazosema zitaweza kukuwekea Mkate mezani.

Dini zenyewe zinataka hela mbona pesa hazishuki au kuokotwa tu na dini!?


Any way, dini ni uongo na porojo za wazungu koko na warabu pori. Sasa, sisi waafrika tumejitwisha bila kuhoji.
Mfano, hadi Hapo Tanzania, dini moja ya wazungu koko, umekataa kumzika billionaire Mrema, pale Arusha .

R.I.P Mrema, na pole sana wafiwa na poleni sana kwa kuumizwa na dini uchwara za wazungu koko .
Wewe ulikuwa mkristo si ndiyo?
 
Acha porojo.

Dini zote ni uongo mfano, Saudia kuwakataza mahujaji kutoka Quarter na apo hapo Saudia inajitanabahisha kuwa nchi ya kidini, tena watu wake wote ni wa dini hiyo.

Sasa , unamkataaje mtu wa dini yako iyo hiyo asije kuabudu kama Kweli huyo Allah ni Mungu kwa nini tuwekeane vikwazo kwenye sala za dini!?


Maisha yanajiendesha kwa kile unachokifanya wewe au binadamu mwingine anachokifanya kwa hiyo acha porojo.

Mfano, kaa nyumbani kwako bila kufanya chochote ndiyo utatambua kama hizo nguvu unazosema zitaweza kukuwekea Mkate mezani.

Dini zenyewe zinataka hela mbona pesa hazishuki au kuokotwa tu na dini!?


Any way, dini ni uongo na porojo za wazungu koko na warabu pori. Sasa, sisi waafrika tumejitwisha bila kuhoji.
Mfano, hadi Hapo Tanzania, dini moja ya wazungu koko, umekataa kumzika billionaire Mrema, pale Arusha .

R.I.P Mrema, na pole sana wafiwa na poleni sana kwa kuumizwa na dini uchwara za wazungu koko .
Aisee wewe jamaa inabidi upimwe akili, maana mpaka kufikia hiyo hatua inaonesha kuwa saikolojia yako haiko vizuri. Pole ila kaa ukitambua kuwa ipo siku ukweli utakuweka huru na kukutoa gizani maana giza lilivyotanda machoni pako linatisha sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa shetani huwa anawapitia watu kwenda kutenda dhambi, hafai kabisa shetani, ndo maana mie huwa simpendi, na ananiogopa mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee wewe jamaa inabidi upimwe akili, maana mpaka kufikia hiyo hatua inaonesha kuwa saikolojia yako haiko vizuri. Pole ila kaa ukitambua kuwa ipo siku ukweli utakuweka huru na kukutoa gizani maana giza lilivyotanda machoni pako linatisha sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app


Sina Giza wala ukungu. Niko vizuri.
Kwa sababu, nimesema dini zote ni uchwara na uongo!? Kama, hujui basi tafiti chanzo cha hizo dini.

Nikuulize swali hil, Je, unajua ni kwa nini Roman Catholic Church, wanazika wafu kanisani !?
Yaani, kama pale Arusha waliopigwa bomu walizikwa pale kanisani unajua sababu !?
 
Tatizo lako ndiyo hilo unapenda uropoke tu kama hivyo ila hapo nikitaka ufafanuzi wa maelezo yako ndipo inapokuwa shida.

Msioamini mungu au dini mnakuwa kama mna matatizo ya kisaikolojia yani ni kama watu wenye kuishi maisha ya kufeki,na matokeo ya kushindwa na kupambana na hali zenu ndipo mnapokuja kutokwa mapovu humu na kutoa maelezo yasiyo na uhalisia.
Tabia ya mtu mmoja isikufanye utujumuishe wote tusiomani, kwa mfano nikiona mtu mmoja anayeamini ni mjinga haimaanishi wote mnaoamini ni wajinga.
 
Back
Top Bottom