Recent content by kwachu

  1. K

    Bank wanahitaji Swift Code kutoka kwa aliyenitumia pesa toka Adsense. Msaada...

    Naomba kujua hii wire tranfer pesa inaingia moja kwa moja kwenye acount yako au mpaka uende bank husika na reset ya adsense ndio wakuingizie pesa?
  2. K

    Watangazaji wa Clouds wengi wao hawana taaluma kabisa

    Na wewe ni mfuasi wa mwamposa huna lolote kwahiyo watu waendelee kuteketea na kuibiwa?makanisa mengi niwapigaji lazima lisemwe.Hakuna baya lolote waliloliongea labda kama unachuki zako binafsi na hao watangazaji
  3. K

    Waliopangiwa kidato cha kwanza 2019 - 2020

    Yanii mi mwenyewe nimezunguka kote hakuna link ya majina
  4. K

    Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

    UBUNGO N.H.C Sent from my iPhone using JamiiForums
  5. K

    Jinsi Ya Kutumia Formula ya AIDA Kuandika Matangazo Yenye Kunasa Wateja

    Shukrani sana Dr kwa elimu ya bure uliyonipatia Sent from my iPhone using JamiiForums
  6. K

    Hatimaye nimeijua Siri ya wafanyabiashara matajiri

    [emoji23][emoji23][emoji23] kwakweli Sent from my iPhone using JamiiForums
  7. K

    Mashabiki wa Alikiba wamvaa Seven Mosha, wasema wamechoshwa na hujuma zake dhidi ya King

    Ali kiba ni Mzigo wa nnya.. hao mashabiki wanaomlaumu Seven hawajielewi yule dada anapambana sanaa tatizo ni huyo msanii mwenyewe ndio anajikuta anajua sanaa jeuri moto
  8. K

    Magereza ambayo Scorpion mtoboa macho anafaa apelekwe

    Kwa upuuzi wa wakazi wa buguruni na wafanyabiashara wa hapo lile shetani linaweza kushinda Kesi kwasababu hawatojitokeza kutoa ushahidi.Ila akitoka uraiani sijui ajifiche wapi
  9. K

    Clouds mnaoufanya ni utoto

    Ahahhaha mapovu kisa PJ karudi alivyoondoka mlishangilia kila linalofanywa na Clouds sio jema lakin wakifanya wengine jema Huu mchezo hauhitaji hasiraaa sindo msemo wenu
  10. K

    Naitupa rasmi laini ya Voda na kuhamia Halotel

    Kwenye ishu ya bando la Mb wanatoa zakutosha tu tofauti na hao wengine ila kasi yao katika net kwakweli hairidhishi tofauti na nilivyosifiwa.
Back
Top Bottom