Na wewe ni mfuasi wa mwamposa huna lolote kwahiyo watu waendelee kuteketea na kuibiwa?makanisa mengi niwapigaji lazima lisemwe.Hakuna baya lolote waliloliongea labda kama unachuki zako binafsi na hao watangazaji
Ali kiba ni Mzigo wa nnya.. hao mashabiki wanaomlaumu Seven hawajielewi yule dada anapambana sanaa tatizo ni huyo msanii mwenyewe ndio anajikuta anajua sanaa jeuri moto
Kwa upuuzi wa wakazi wa buguruni na wafanyabiashara wa hapo lile shetani linaweza kushinda Kesi kwasababu hawatojitokeza kutoa ushahidi.Ila akitoka uraiani sijui ajifiche wapi
Ahahhaha mapovu kisa PJ karudi alivyoondoka mlishangilia kila linalofanywa na Clouds sio jema lakin wakifanya wengine jema Huu mchezo hauhitaji hasiraaa sindo msemo wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.