Magereza ambayo Scorpion mtoboa macho anafaa apelekwe

Magereza ambayo Scorpion mtoboa macho anafaa apelekwe

Habar wadau,
Nimetafakari kwa ukatili wa scorpion mtoboa macho aliokuwa nao napendekeza hukumu ikitoka huyu muuwaji nashauri apelekwe kwenye magereza yafuatayo:-

1.KITENGULE-KAGERA
2.ISANGA-DODOMA
3.RUKARANGA-KILIMANJARO
4.BUTIMBA-MWANZA
5.MAWENI-TANGA

NAWE MDAU ONGEZEA GEREZA LINALOMSTAHILI HUYU KATILI MTOA MACHO MUUWAJI.
NAWASILISHA
HUYO MSHENZI NYAMAFU ALIELAANIWA SCORPION TAYARI ANAMATESO YA NAFSI NA ROHO YAKE MWENYEWE,YAANI KILA DAKIKA YA MAISHA YAKE ATATESEKA NA KUJITAFUNA NA KUFA UPESI HATOKUFA ILA CHAMOTO ATAKITAFUNA USIKU NA MCHANA MPAKA PUMZI YAKE YA MWISHO MBWA HUYO,ALICHOKIFANYA KWA KUMPOFUA YULE BINADAMU NI BORA ANGEMUUA TU.NASEMA NA NASISITIZA KUWA KUMUUWA SCORPION NI SAWA SAWA NA KUMPA MSAADA WA AMANI AU ZAWADI TAMU SANA,HUYO AACHWE HAI HIVO HIVO,AU KUMTOA MACHO YOTE NA KUMUACHIA HURU MTAANI AKAISHI BILA ADHABU YA KUULIWA.
 
Habar wadau,
Nimetafakari kwa ukatili wa scorpion mtoboa macho aliokuwa nao napendekeza hukumu ikitoka huyu muuwaji nashauri apelekwe kwenye magereza yafuatayo:-

1.KITENGULE-KAGERA
2.ISANGA-DODOMA
3.RUKARANGA-KILIMANJARO
4.BUTIMBA-MWANZA
5.MAWENI-TANGA

NAWE MDAU ONGEZEA GEREZA LINALOMSTAHILI HUYU KATILI MTOA MACHO MUUWAJI.
NAWASILISHA
Ingewezekana wamwachie kitaa watu wamtafune ila Serikali imewazingatia Wanaume Wa Dar...
 
..Mimi napendekeza watuachie tu huku kitaani tutajua cha kumfanya nadhani tutatoa adhabu inayoendana naye.

Kuna watu zaidi ya 100 walikuwa wanamuangalia tu wakati anafanya ule unyama. Majirani zake watakuwa wanafunga na kuomba asitoke ndani kabisa. Huyu atobolewe macho tu na apigwe shaba..anaweza kuzushiwa alikuwa akijaribu kutoroka.
 
Mp
Sisi in binadamu wapita njia katika dunia.hatutakiwi kuwatakia mabaya wenzetu.tusameheane na kwa kweli kila MTU ana mapungufu yake.napenda kuchukua fursa hii kumtakia scorpion atoke jela aje awe balozi wa amani kitaa na aje ajutie makosa yake.wapo akina Dada wanaotoa mimba kila Siku hayo yote ni dhambi.scorpion kampofosha mwenzake.kwa jinsi alivyoandikwa kesha jifunza.na yule mwalimu aliyemtwanga makofi denti naye kakosea sana.atubie kwa Mungu na sisi tumsamehe.
umbavu sana wewe
 
Sisi in binadamu wapita njia katika dunia.hatutakiwi kuwatakia mabaya wenzetu.tusameheane na kwa kweli kila MTU ana mapungufu yake.napenda kuchukua fursa hii kumtakia scorpion atoke jela aje awe balozi wa amani kitaa na aje ajutie makosa yake.wapo akina Dada wanaotoa mimba kila Siku hayo yote ni dhambi.scorpion kampofosha mwenzake.kwa jinsi alivyoandikwa kesha jifunza.na yule mwalimu aliyemtwanga makofi denti naye kakosea sana.atubie kwa Mungu na sisi tumsamehe.
"Nasema kweli kabisa......Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, wewe unaongea pumba".
 
Huyu mbuzi kauchoma wangu moyo kila ninapoyafikiria maisha ya kutoona tena ya bwana said nakosa raha kiukweli. Yaan adhabu anayostahili ni kutofolewa macho Na yeye ili apate mateso maisha yake yote. Hayo tu
 
Wewe huyu mtu hatari unataka arudishwe mtaan tena awe baloz wa labda majangili
 
Kuna watu wanajifanya wana huruma wakati ndugu zao wengine wako wagonjwa mahututi hospitali. . wengine walemavu wala hawana habari zao..
 
Habar wadau,
Nimetafakari kwa ukatili wa scorpion mtoboa macho aliokuwa nao napendekeza hukumu ikitoka huyu muuwaji nashauri apelekwe kwenye magereza yafuatayo:-

1.KITENGULE-KAGERA
2.ISANGA-DODOMA
3.RUKARANGA-KILIMANJARO
4.BUTIMBA-MWANZA
5.MAWENI-TANGA

NAWE MDAU ONGEZEA GEREZA LINALOMSTAHILI HUYU KATILI MTOA MACHO MUUWAJI.
NAWASILISHA

KIHINGA -KIGOMA

Yote hapo juu cha mtoto,Kihinga habari nyingine kabisaaa.
Mbali na mziki mnene wa Jela yenyewe,bado kuna Mashamba yao hasa yale ya Michikichi,Full Nyoka,tena Nyoka wa maana hasa na aina zote,na haitakiwi kuuwa nyoka hata mmoja.

Kuna watu wanaona bora akijipiga panga ajikate kidole ili asiende shift.Hahaha na ukirudi jela unakumbana na mziki mkubwa.Wengi wakitoka huko ni Maiti na akiwa mzima basi kichwa kibovu ua anakuja kufia uraiani.

Maana anakuwa Anashangaa jinsi watu uraiani wanavyoishi,basi unakuta muda wote kaduwaa kama vile katoka sayari ya Jupiter,hahaha
Waliofungwa miaka ya 90 huko wanalijua hili,sijui kama shows zake zipo kama ilivyokuwa.Maana mpaka wafungwa wachawi wamo humo,hahaha aisee we acha kabisa huko Balaaa
 
Kwa upuuzi wa wakazi wa buguruni na wafanyabiashara wa hapo lile shetani linaweza kushinda Kesi kwasababu hawatojitokeza kutoa ushahidi.Ila akitoka uraiani sijui ajifiche wapi
 
KIHINGA -KIGOMA

Yote hapo juu cha mtoto,Kihinga habari nyingine kabisaaa.
Mbali na mziki mnene wa Jela yenyewe,bado kuna Mashamba yao hasa yale ya Michikichi,Full Nyoka,tena Nyoka wa maana hasa na aina zote,na haitakiwi kuuwa nyoka hata mmoja.

Kuna watu wanaona bora akijipiga panga ajikate kidole ili asiende shift.Hahaha na ukirudi jela unakumbana na mziki mkubwa.Wengi wakitoka huko ni Maiti na akiwa mzima basi kichwa kibovu ua anakuja kufia uraiani.

Maana anakuwa Anashangaa jinsi watu uraiani wanavyoishi,basi unakuta muda wote kaduwaa kama vile katoka sayari ya Jupiter,hahaha
Waliofungwa miaka ya 90 huko wanalijua hili,sijui kama shows zake zipo kama ilivyokuwa.Maana mpaka wafungwa wachawi wamo humo,hahaha aisee we acha kabisa huko Balaaa
Uko basi ni balaah maana kama hata mafungwa wachawi wapo mmmmmmh!!!
 
Wampeleke jeshini aende mstari wa mbele Congo au Sudan au awekwe kitengo cha kupambana na majambazi apewe maslahi mazuri na apewe ushauri wa kisaikologia atakaa sawa kumfunga ni hasara Kwa taifa.Watu kama hao nchi zilizoendelea upelekwa mstari wa mbele Kwa kupewa maslai bora kupambana na majambazi.
 
Sisi in binadamu wapita njia katika dunia.hatutakiwi kuwatakia mabaya wenzetu.tusameheane na kwa kweli kila MTU ana mapungufu yake.napenda kuchukua fursa hii kumtakia scorpion atoke jela aje awe balozi wa amani kitaa na aje ajutie makosa yake.wapo akina Dada wanaotoa mimba kila Siku hayo yote ni dhambi.scorpion kampofosha mwenzake.kwa jinsi alivyoandikwa kesha jifunza.na yule mwalimu aliyemtwanga makofi denti naye kakosea sana.atubie kwa Mungu na sisi tumsamehe.
We una mtazamo wa positive thinking turn negative into positive nchi zilizoendelea huwatumia watu km hao Kwa manufaa
 
Msamaha kwa mjinga kama huyo hata shetani atakushangaa..!!! aachiwe tu urain kwa siku mbili then waje kufuata mwili wake waupeleke gerezani ukafungwe...hana hata haki ya kuzikwa m.puuzi yule
 
nadhani apelekwe akapambane na boko haram ili akomboe wale vigoli waliotekwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom