Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Ili nalo neno haiwezekani mtu na akili zako ufanye ivyowhat if wanawaruhusu waende Efm ili wakadadisi then wanawachukua tena ili kupata mrejesho?
Ili nalo neno haiwezekani mtu na akili zako ufanye ivyowhat if wanawaruhusu waende Efm ili wakadadisi then wanawachukua tena ili kupata mrejesho?
HahahahahaWasamehe mkuu maana ni ulimbukeni tu unawasumbua,Muda si mrefu watamchukua mpaka Gigy money..
Pesa huondoa nidhamu mkuuHuyo PJ nae kama mwanamke,mwanaume unakosaje msimamo?binadamu wa ukweli ni yule ambaye kwanza analinda heshima yake na jamii yake,huyu boya kashindwa kujilindia heshima,nimemdharau sana,wanaume hatuko hivyo,kesho akitimuliwa tena kwa kashfa ileile ya kitwang ataenda wapi?
gigy si walimchukua choice fm sijui kama bado anaendelea kutangazaWasamehe mkuu maana ni ulimbukeni tu unawasumbua,Muda si mrefu watamchukua mpaka Gigy money..
Ila kiudadis atakua huyu pj ila gadna hapana maana alitokea times fmwhat if wanawaruhusu waende Efm ili wakadadisi then wanawachukua tena ili kupata mrejesho?
Kaondoka clouds kwa kashfaAhahhaha mapovu kisa PJ karudi alivyoondoka mlishangilia kila linalofanywa na Clouds sio jema lakin wakifanya wengine jema Huu mchezo hauhitaji hasiraaa sindo msemo wenu
hapa ni sawa na kumpigia mbuzi gitaaa ubunifu kwa kuwaleta akina kicheko, ubunifu vipi wakati mhaya yule anasema ana miaka zaidi ya mitatu hasomi cv za watu.Mtu umepiga zako jiwe la journalism ukifika hapo unapewa cha mbavu lakini wauza makalio mitandaoni wanapata kazi, wanakusubiri uende stesheni nyingine ukue waje wakurubuni.Pengine kitu ambacho watu hawaja gundua juu ya clouds fm. Wanatumia mda mwingi kusikiliza radio kubwa mfano EA RADIO,MAGIC FM,RADIO ONE na radio chipukizi kama EFM. Kwa muda mwingi sana ili waende sawa kwani wao wanakosa kitu kimoja UBUNIFU. Na hiyo inapelekea kuchukua hao watangazaji kwa pesa nyingi siyo kwa kuwatumia kutengeneza pesa hapana. Na mipango kazi ya radio walizotoka hao watangazaji, mfano unaweza jiuliza watangazaji kama 10 waliotoka EA RADIO/TV wamewapelekea mipango kazi mingapi clouds ya muda mrefu....? Still bado hiyo station ina endelea kufanya vizuri japo na kuondokewa wapiga kazi wao (EA RADIO/TV). UBUNIFU tu ndo unawaweka on top na hicho clouds fm ndo wanacho kosa wanatumia nguvu kubwa sana
Utakubali pale EFM wanapokuwa wabunifu hadi leo kuwa pale. Ndo maana watangazaji makini toka radio one uwezisikia wamekwenda pale wana focus mbali BBC,DW,VOA,CCTV, IKULU na kwengine
Ushauri CLOUDS kuwenu wabunifu au nyie mnajua fulsa basi za kuwashauri watu .
