acha ukilaza na wewe,nimeanza kutumia smartphone wakati wewe bado upo kijijini hata umeme hauufahamu,unajua kwanini nimemwambia ndio maana haishiki internet,karudie kukisoma alichoandika hadi nikamwambia ndio maana haishiki internet...Siyo haishiki internet! Bi suala la setting mkuu. Nitafute hata inbox nikuelekeze namna ya kufanya settings zake.
tell them!!tubakie sie tu!!maana hata airtel Wateja wakizidi wanapandisha vifurushi!msije wengi watapandisha na hawa
Halotel ndio mpango mzima... ulikuwa wapi muda wote..?
kabisaaaa!!Halotel ndyo habar ya mujin
hongera mie hz mbili zanishindaa!!Mimi hakuna line nitakayoitupa,kila line ina umuhimu wake.
1. Halotel >>>> Internet.
2.Voda >>>> M.pesa.
3.Airtel >>>>Mawasiliano.
4.Tigo >>>>> Watu wangu wengi wanaijui hii namba.
hhhaaaahhhaa!!sijawahi kuisikia,ndio maana internet inakataa!
typing error jamani!Ndio simu gani hiyo? . Au ni toleo kutoka kwa kina Lee?
Ni aina gani ya SIMU na ukiweka laini kinatokea niniMkuu mi voda siwapendi ningekuwa niliashatupa line na nimenunua line ya halotel, tatizo ni kwamba sim yangu nikiweka line ya halotel haishiki internet. Msaada please ili nitupe line ya voda rasmi
Nikiweka line na kufanya setting kuna mdau kanielekeza hapo juu namna ya kufanya setting, pia nikiwasha ile mobile data hamna kinachoendeleaNi aina gani ya SIMU na ukiweka laini kinatokea nini
Nilikuwa na ttzo hili hili lkn nilielekezwa ndani ya dakika 1 ikawa tyrMkuu mi voda siwapendi ningekuwa niliashatupa line na nimenunua line ya halotel, tatizo ni kwamba sim yangu nikiweka line ya halotel haishiki internet. Msaada please ili nitupe line ya voda rasmi
Bado unaile sketi yako nyeusi uliyokuwa unavaa unakwenda nayo pale sinza?Nimeamua kuanzia Leo Mimi Na familia yangu kuhama Mtandao wa Vodacom Na kuzitupa Line zetu ili tujiunge Na Mtandao Rafiki wa Halotel.Mtandao wa Voda umekuwa Gharama sana Na sio Rafiki kwani umeshusha ukubwa wa vifurushi vyake lakini bei in ile ile hali ambayo imetuumiza sana wadau.Nachukua fursa kuwaaga marafiki, maadui Na wale wapiga debe wenzangu pale Lumumba Na kuwambia kuwa nimehama rasmi Na CCM nakuwa Mchungaji.