Recent content by Kitumbikwela

  1. Kitumbikwela

    Tumbo kuunguruma kuna sababishwa na nini ?

    Sasa kiongozi tutakula vyakula gani!
  2. Kitumbikwela

    Bait Al Ajaib laanza kuporomoka

    Kwani Serikali ya SMZ hawana Wizara ya Utamaduni na Mambo ya Kale
  3. Kitumbikwela

    Rafiki yangu kampenda dada mwenye Sickle Cell

    Ni kweli kabisa hapa ofisini kwetu kuna binti ana hilo tatizo na ana miaka 28 ila ndo hivyo vijana wanamuogopa lakini yuko poa tu.
  4. Kitumbikwela

    Mbunifu na Mchoraji wa Nembo ya Taifa anaishi maisha duni.

    Lakini still mtu kama huyu alitakiwa kuenziwa hata kama alilipwa kwa sababu mchoro aliodesign ni moja kati ya nembo za Taifa, kwa wenzetu mtu kama huyu alikuwa sio wa kuishi hivi Jamani huyu mtu bado anahitaji msaada, watu kama hawa kipindi kile walipokuwa wanafanya hizi sanaa hawakuwa na elimu...
  5. Kitumbikwela

    Mbinu mbalimbali za mtu kukuibia gari

    Hii akina dada inawahusu sana
  6. Kitumbikwela

    Wapigaji Wangu Hatari wa Mipira Iliyokufa(dead ball) Wa muda wote

    Mapigo ya mipira ya faulo moja kwa moja golini, au kwa lugha nyingine set pieces
  7. Kitumbikwela

    RC wa Kilimanjaro, Meck Sadiki na Majaji wawili Wajiuzulu. Rais Magufuli aridhia...

    Kabisa, nimefanya nae kazi alikpokuwa RC Lindi
  8. Kitumbikwela

    Rais Magufuli mpandishe cheo askari wetu kwa Ushujaa wake

    Huyo afande kachemka, sawa Malima anaweza kuwa alikosea lakini kulikuwa hamna haja ya huyo askari kufyatua risasi hewani na kuleta tahaluki kwa raia, mimi nasema awajibishwe sio kupandishwa cheo!
  9. Kitumbikwela

    Bongo Movie mmefikia wapi na Maandamano?

    Huyo jamaa ndo hamna kitu kabisa, akajaribu shughuli nyingine ya kufanya
  10. Kitumbikwela

    Yanayoendelea maofisini kwa wake za watu ni balaa!

    Tatizo dada zetu siku hz wanapenda sana slope!
  11. Kitumbikwela

    Prof. Kitila Mkumbo, umeanza kwa kuchemka

    Hajakosea mkuu labda katika speech yake asingemzungumzia kilimo, kwa sababu kilimo ni sekta inayosimamiwa na wizara ya kilimo, yeye ilitakiwa aongelee zaidi ujenzi na uimarishaji wa miundombinu ya umwagiliaji, all in all idara ya umwagiliaji ilitakiwa ibaki wizara ya kilimo!
  12. Kitumbikwela

    Dada wa mapokezi Avic Town hajui huduma kwa wateja

    Bar zingine hao mameneja sijui hawana sauti kwa hao barmaids kwa sababu ni vyakula vyao, labda umuambie mmiliki kama yupo around.
  13. Kitumbikwela

    Mwigulu hili hapana

    Umesahau kitu mkuu, pia tutaambiwa yule mtu ni mgonjwa wa akili!
Back
Top Bottom