barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,804
Unajua ile kauli mbiu kilimo ndo uti wa mgongo wa nchi hii?? Kauli hii bado ni ya ukweli ukae ukijua hilo, baada ya hapo, unajua yeye mi katibu mkuu wa wizara ipi??Katika hotuba yake ya kwanza amezungumzia Kilimo cha umwagiliaji kama ndio kipaumbele chake katika kutimiza majukumu yake katika wizara ya maji.
Swali langu, toka lini kipaumbele cha wizara ya maji ni kilimo cha umwagiliaji? Kilimo cha umwagiliaji ni kipaumbele cha wizara ya kilimo kimkakati.
Wizara ya maji tunahitaji utwambie tutapataje maji safi na salama . Kwani hujui ni kiwango gani cha wanchi hawana maji salama?
Hicho sio cheo cha kisiasa.
Neno kilimo na umwagiliaji unaelewa uhusiano wao??