Bongo Movie mmefikia wapi na Maandamano?

Bongo Movie mmefikia wapi na Maandamano?

Hiyo muvi ya mwaka gani?

Kwa kawaida muvi zinaenda kwa nyakati, kwa hiyo uliyosema itakua ni first blood 1 au ya 2 au ya 3, kipindi hicho na sisi tulishakua na muvi ambayo mtu mmoja anaangamiza kambi nzima inaitwa Shamba Kubwa, tukaja na The witness tukaja na Misukosuko. Hizo zilikua ni nyakati za kuonyesha Badassery.

Baada ya muda era ya badassery imepotea ndiyo maana Rambo 4 ameonekana akisaidiana na mercenaries.

Issue sio Movie ya Mwaka gani hapa tunazungumzia uhalisia!

Hata Miaka hiyo was it possible Mtu mmoja kuangamiza Kambi nzima kama alivyokuwa anafanya Rambo?
 
Issue sio Movie ya Mwaka gani hapa tunazungumzia uhalisia!

Hata Miaka hiyo was it possible Mtu mmoja kuangamiza Kambi nzima kama alivyokuwa anafanya Rambo?
Mkuu hiko ulichojiuliza kwa miaka ile ilikua hakuna kujiuliza hivyo ndiyo maana muvi kama hizo zikawezekana.

Ndiyo maana Rambo 4 hajaifanya hivyo kwakua ukiachilia mbali kua Badassery era imepote siku hizi review inaweza kusababisha filamu yako ikadoda, sasa Rotten Tomatoes wakikupa review mbovu kisa umetoa muvi haina logic si ndiyo unakuta muvi imekaushiw na watazamaji.
 
Lengo lilikua kumtoa bashite k
toka mafichoni tu. Maana haandikwi kabisa ndio maana wakamtafutia kiki ile.
 
wanam torture sana kisaikolojia
Ni kweli anahali ngumu kwa sasa kapoteza asilimia kubwa ya marafiki zake.
Ila kwa upande mwingine nayeye kafanikiwa kuzima swala lake. Kwa sasa hakuna mtu hata 1 anayemdai bashite cheti so kafanikiwa.
 
kwa maisha haya nikanunue cd ya bongo movie wakati kifilipino buka tatu tu mambo yanaenda murua?bongo movie kuweni na huruma basi namba tuisome wote
 
Nliona bongo movie flani ivi inaitwa chaupele, kama mtoto wa mfalme anakaa style hiyo, bas tena. Itungwe sheria ya kunilazimisha kutoa hela mfukoni ninunue movie.
 
Nliona bongo movie flani ivi inaitwa chaupele, kama mtoto wa mfalme anakaa style hiyo, bas tena. Itungwe sheria ya kunilazimisha kutoa hela mfukoni ninunue movie.
Hiyo movie ipoje? Hebu hadithia vzr tujue mfalme Chaupele alikuagaje?
 
Back
Top Bottom