Kwa upande wangu najivunia sana we we, Tanzania ingepata watu watano au kumi kama wewe tungekuwa mbali sana. Watu wengi sana wanajua kucritisize tu na kuongea ili wao waonekane bora kuliko wengine, hawajui kuwa sufuria masizi ni asili yake, hata ukisugua kesho yanarudi tena. Ww umeonyesha kitu...
Ndugu zangu kaka na dada, mama na baba pia tunatambua kuwa wanafunzi wengi wameshindwa kuendelea na masomo yao kutokana na kukosa uwezo wa kuchangia ufanikishaji wa elimu yao ( ada) kutokana na uwezo wa familia zao, kubwa zaidi serikali kushindwa kuwapa mikopo. Ili vijana hawa waweze kutimiza...
Mama kwanza nikusalimu shikamoo.pili niseme asante kwa kuliona hili na kulipa nguvu, kweli wanafunzi tunapata shida sana. Kwa mfano Mimi ni yatima sina wazazi wote na attachment ninazo, ila nimeomba mkopo nimekosa, nimeappeal pia nimekosa. Nimekwenda kuongea na Mkuu wa idara ya matangazo bodi ya...
Naandika threath hii kwa machungu makubwa moyoni mwangu, huku nikiiraumu serikali kwa kuto kufanya hili mapema. Nikiwa napitapita nilikutana na threath ya uhakiki majina ya wanavyuo wasio kuwa na sifa, ikanilazimu kukimbilia site ya TCU kujionea mwenyewe! Hili inasikitisha sana, tena isitoshe...
Kweli nimeamini watanzania wengi wetu ni malimbukeni. Tunaacha kujadir mambo ya msingi kwa jamii zima, et tunasimama kwa masilah ya mtu mmoja Kweli! Kweli! Kweli!. Hebu tuweni seriouz bwana, huyo muhariri mbona hukuja na hoja hizi before? Leo hii ndo umeligundua hili?. Alafu nani aliye kwambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.