2015phunter
Senior Member
- Dec 15, 2016
- 103
- 81
sawa za kulevya ndio nn
Macho manne alishindwa kununua vyeti pamoja fedha yote ile ya disco katika ule ukumbi uliobomolewa?mtaongea sana tu Ila vyeti mmenunua ndo maana elimu zenu mmeunga unga weeee!!
Amealikwa clouds FM kesho kwenye pb tega sikioPunguza povu wewe mwambieni Mr Daudi ajibu tuhuma zinazomkabili. Maji ukiyafulia nguo huna budi kuyaoga...Mweeeeeee amelianzisha sasa anavuliwa nguo ..
Kama vyeti havifanyi kazi serikali inahakiki/inakagua nini kwa watumishi wa umma.Acha upumbavu wa kujitakia kufoji vyeti ni jinai sawa na kuuza madawa ya kulevyaKweli nimeamini watanzania wengi wetu ni malimbukeni. Tunaacha kujadir mambo ya msingi kwa jamii zima, et tunasimama kwa masilah ya mtu mmoja Kweli! Kweli! Kweli!. Hebu tuweni seriouz bwana, huyo muhariri mbona hukuja na hoja hizi before? Leo hii ndo umeligundua hili?. Alafu nani aliye kwambia vyeti ndo vinafanya kazi au kuongoza vizr? Kaka/dada uongozi ni wito, acheni afanye kazi yake. Fikra ndo ukombozi pekee, na maendeleo yako, acha kunyumbishwa, simama. Nawasilisha
Mnafiki mkubwa mbona Gazeti la Uhuru likijikita kwenye Habari za CCM naza uchochezi husemi lifungiwe mfyuuuuuSababu ya Jambo Leo kuingia vitani na RC makonda ,ni Manji kutajwa kwenye biashara ya Dawa za kulevya.Toka RC wa jiji la Dsm amtaje Mfanya biashara Manji kuwa anahusika na Dawa za kulevya gazeti la jambo leo toka siku hiyo limeingia kwenye vita kali na RC Makonda.Gazeti limekuwa linajaribu kwa njia moja au nyingine kumchafua RC Makonda.Toka kutajwa kwa Manji ,kwamba anahusika na Dawa za kulevya ,gazeti hili nalo likaingia vitani kuanza kazi ya kumchafua RC Makonda. Kutokana na uandishi wa gazeti hili ,kila siku kuandika habari za MTU mmoja tu ,ni dhahiri sasa ,gazeti hilo limepoteza maadili ya uandishi wa habari na sasa kujikita kumtetea bosi wao Manji .Ni muda muafaka kwa waziri wa habari ,kuwa makini na uanzishwaji wa haya magazeti kwani mengi yanaanzishwa ili kutetea maslahi ya watu wachache. Ushauri:Watanzania wa mitandaoni tusitumie nguvu kubwa kupotosha ukweli kuwa ,wengi wa wafanya biashara kubwa wanatumia na kuuza dawa za kulevya,na kuanza kupotosha ukweli kwa kuleta habari za uongo kuhusu Makonda.Kama tungekuwa great thinker kweli tungekuwa tunaongelea suala la manji kuhusika na dawa za kulevya ,lakini tunaongelea suala la uzushi kwa RC makonda .Hii maana yake ni kuwa suala la dawa za kulevya linagusa maisha ya wengi humu JF na wengi wanafaidika nazo kwa njia moja au nyingine.Pia ningependa kumshauri mhariri wa gazeti la Jambo Leo,kuwa kumshambulia RC makonda ni sawa na kuipinga serikali kwenye suala la dawa za kulevya. Hii ni kwa sababu RC makonda anaiwakilisha serikali kutimiza wajibu wake.Unapomzushia habar nyingi za uwongo ni eti kwa sababu amemtaja Manji kwenye dawa ,ni sawa na kutetea wauza unga.Naona future yako katika hiyo kazi ,uko mbeleni inapotea kabisa.
Daudi huyooomuandishi mbona umetokwa na mapovu au ndio makonda mwenyewe?
Tukitafuta wavutaji hakuna sababu ya cherry pickingSababu ya Jambo Leo kuingia vitani na RC makonda ,ni Manji kutajwa kwenye biashara ya Dawa za kulevya.Toka RC wa jiji la Dsm amtaje Mfanya biashara Manji kuwa anahusika na Dawa za kulevya gazeti la jambo leo toka siku hiyo limeingia kwenye vita kali na RC Makonda.Gazeti limekuwa linajaribu kwa njia moja au nyingine kumchafua RC Makonda.Toka kutajwa kwa Manji ,kwamba anahusika na Dawa za kulevya ,gazeti hili nalo likaingia vitani kuanza kazi ya kumchafua RC Makonda. Kutokana na uandishi wa gazeti hili ,kila siku kuandika habari za MTU mmoja tu ,ni dhahiri sasa ,gazeti hilo limepoteza maadili ya uandishi wa habari na sasa kujikita kumtetea bosi wao Manji .Ni muda muafaka kwa waziri wa habari ,kuwa makini na uanzishwaji wa haya magazeti kwani mengi yanaanzishwa ili kutetea maslahi ya watu wachache. Ushauri:Watanzania wa mitandaoni tusitumie nguvu kubwa kupotosha ukweli kuwa ,wengi wa wafanya biashara kubwa wanatumia na kuuza dawa za kulevya,na kuanza kupotosha ukweli kwa kuleta habari za uongo kuhusu Makonda.Kama tungekuwa great thinker kweli tungekuwa tunaongelea suala la manji kuhusika na dawa za kulevya ,lakini tunaongelea suala la uzushi kwa RC makonda .Hii maana yake ni kuwa suala la dawa za kulevya linagusa maisha ya wengi humu JF na wengi wanafaidika nazo kwa njia moja au nyingine.Pia ningependa kumshauri mhariri wa gazeti la Jambo Leo,kuwa kumshambulia RC makonda ni sawa na kuipinga serikali kwenye suala la dawa za kulevya. Hii ni kwa sababu RC makonda anaiwakilisha serikali kutimiza wajibu wake.Unapomzushia habar nyingi za uwongo ni eti kwa sababu amemtaja Manji kwenye dawa ,ni sawa na kutetea wauza unga.Naona future yako katika hiyo kazi ,uko mbeleni inapotea kabisa.
Uhakiki wa vyeti ulikuwa wa nini kama havifanyi kazi.Kweli nimeamini watanzania wengi wetu ni malimbukeni. Tunaacha kujadir mambo ya msingi kwa jamii zima, et tunasimama kwa masilah ya mtu mmoja Kweli! Kweli! Kweli!. Hebu tuweni seriouz bwana, huyo muhariri mbona hukuja na hoja hizi before? Leo hii ndo umeligundua hili?. Alafu nani aliye kwambia vyeti ndo vinafanya kazi au kuongoza vizr? Kaka/dada uongozi ni wito, acheni afanye kazi yake. Fikra ndo ukombozi pekee, na maendeleo yako, acha kunyumbishwa, simama. Nawasilisha
Mkuu huyu mleta Uzi anafunga uwezo wa kutambua na sasa yuko kimahaba na konda huku akiacha kuchambua data.Mtu huru huchambua vitu kwa Uhuru bila kuegemea upande wowoteNonsense! Habari za vyeti vya Makonda ime-trend sana hapa JF! Kwa gazeti lolote linaweza kuvalia njuga issue inayo-trend kwenye social network! Sasa ni nani aliyevalia njuga issue ya Makonda kati ya Jmbo Leo na JF?!