Natafuta watu tufanye project ya movie,

Natafuta watu tufanye project ya movie,

OK unaweza kuwa na wazo nzuri tu ila uandishi tu Wa hii habari yako ya kutafuta wahusika inatia mashaka kama kweli unaweza kuandaa kitu kikubwa kama unavyojitanabaisha hapa jukwaani.
Umeniwahi, hata mimi nimeliona hilo...
 
Nina WAZO, na mi nataka nimpate Mtu Mmoja tu, na ninaamin sirahisi kumpata, ILA ATAPATIKANA TU
MTU Wa aina gani unamfikiria kichwani mwako ungeweka hapa vigezo vyote ndio maana nikakuambia Maelezo yako yanaacha maswali mengi
 
toa hio picha ata mawazo yako tutayaheshimu
Sasa heshima yako kwangu ya nini



Ukiheshim na usipoheshim nawazo yang itanisaidia nini,itanipeleka WAP?

Kwan mkuu wewe ulivyoiona hiyo picha imekuudhi?,imekudhuru?,imekutia kinyaa at kitu gani?

Na je ilikuwa lazima uiangalie

Na ulivyoiangalia imekuongezea nini? Imekupunguzia nini?

Na nani alikuambia mie naheshimu mawazo yako?

Moderators so wapo....wangeona haifai so wangeitoa au kunitaarifu niitoe

Kuna option inaitwa report kwa nini usiireport kuonesha haupendezwi na MTU ambaye humjui wala hakujui,hajali mawazo yako kwake in upuuz tu na hutakuja ujuane nae picha aliyoweka



BTW.......good day
 
Yawezekana huyu jamaa amesave ya kupigia Punyeto[emoji23] [emoji23]
Nakukubali sana mwanang hujui tu


Yaani hapa dunian hakuna anaenielewa kama wewe
Yaani hats mama yangu umemuacha mbali sana kuna muda huwa nawaza kama una papuch alaf ukanizaa ila unaficha siri watu wasijue
 
Nakukubali sana mwanang hujui tu


Yaani hapa dunian hakuna anaenielewa kama wewe
Yaani hats mama yangu umemuacha mbali sana kuna muda huwa nawaza kama una papuch alaf ukanizaa ila unaficha siri watu wasijue
Toa hilo picha.

Kwanza kwa kuweka tu hilo picha unaonesha ni kwa kiasi gani ulivyo mjinga.

Mtu mwenye hekima zake hawezi weka hiyo picha.
 
MTU Wa aina gani unamfikiria kichwani mwako ungeweka hapa vigezo vyote ndio maana nikakuambia Maelezo yako yanaacha maswali mengi
Sihitaji Wasanii, Wala Director Au cameraman,

Nahitaji Watu Wa Ku_ walk Nyuma Ya Hawa Watu,

sababu Hawa Wengine Wanapatikana Kirahisi, Wala Nisingeliweza Kuwatafuta
 
WAZO NDO DEAL LENYEWE, TUNAONGELEA PEMBENI NA HAPA,

BUSINESS PLAN NI ZAIDI YA MTAJI KK,

NDO MAANA NIMESHASEMA SIWEZI WEKA WAZI KWA HAPA, HADHARANI


mkuu sio ww nilikuwa nakuambia kuna mwana haramu mmoja ambae kaweka picha la ajabu
 
Back
Top Bottom