Mimi ni mwalimu, naacha kazi nijiajiri

Ninakaribia 30. Nafundisha sekondari, somo la Basic Mathematics. Sina furaha na kazi yangu kwa sababu kipato hakiendani na kasi ninayoipenda. Nimegundua kuwa na degree hakuendani na kipato. Bado tunatishwa tishwa. Walimu nimegundua ni waoga. Hasa kufanya maamuzi magumu na sahihi. Mwalimu wa Tanzania anaishi kimaskini. Naacha kazi, naenda kujiajiri mwenyewe. Kwa heri utumwa, Kwaherini walimu. KWAHERINI. Usiniige kama hujajipanga. Nina sh milioni 2. naenda kuipanda. Hii sio ndogo kwangu. Sirudi tena kufunza.
Wewe huna mpango wa kuacha kazi na inaonyesha wewe ni muoga fullu. Ukitaka kuacha acha kimya kimya, ushauri wa nini tena unataka? ndo yale mtu anataka kujinyonga anaomba ushauri ajinyonge vipi? kwa kutumia kamba, sumu, ajipige risasi, ajirushe,

Kuacha kazi ni uamuzi wako na kamwe usishirikishe mtu na kuanza kishirikisha watu maana yake wewe ni muoga na huna mpango huo na hutakaa uwe nao
 
Unataka kujiajiri for wrong reasons na kufikiri kujiajiri ni kuakimbia matatizo yako. Kijana you need a mentor ambaye ni mfanya biabishara akupe A to Z kisha ufanye ifnrmed decision. Biashara inahitaji uifanye kwa moyo ndo utafanikiwa na si kwa sababu ilizozitaja hapo juu. Ushauri wangu mtafute mtu aliyefanikiwa ndo akupe ushauri don't seek advice from losers
Point mkuu, jamaa hana mpango wa kuacha na kama ni kuacha lazima utafute watu wa kukushairi na watu hao ni wa namna gani?
 
simple question to you:

haukujua kwamba ualimi ni miongoni mwa kazi za wito ulipo anza degree yako ya elimu?

Advice:- Usiache kazi bali diversify your hustling utafanikiwa"
 
Hongera kwa kuamua mapema! Wengine wamezeekea humo na jina kwe ye duka la Mangi ni la kudumu!
Hawana tena uwezo wa kurisk! Hongera kijana! Tafuta sehemu yenye kilimo, jiandae kukabiliana na vikwazo na ukata lakini mwisho wa siku utatoboza tu!
 
Ninakaribia 30. Nafundisha sekondari, somo la Basic Mathematics. Sina furaha na kazi yangu kwa sababu kipato hakiendani na kasi ninayoipenda. Nimegundua kuwa na degree hakuendani na kipato. Bado tunatishwa tishwa. Walimu nimegundua ni waoga. Hasa kufanya maamuzi magumu na sahihi. Mwalimu wa Tanzania anaishi kimaskini. Naacha kazi, naenda kujiajiri mwenyewe. Kwa heri utumwa, Kwaherini walimu. KWAHERINI. Usiniige kama hujajipanga. Nina sh milioni 2. naenda kuipanda. Hii sio ndogo kwangu. Sirudi tena kufunza.
Ni wazo nzur tena sana, lakn nikushaur kitu 0674010013
 
Ninakaribia 30. Nafundisha sekondari, somo la Basic Mathematics. Sina furaha na kazi yangu kwa sababu kipato hakiendani na kasi ninayoipenda. Nimegundua kuwa na degree hakuendani na kipato. Bado tunatishwa tishwa. Walimu nimegundua ni waoga. Hasa kufanya maamuzi magumu na sahihi. Mwalimu wa Tanzania anaishi kimaskini. Naacha kazi, naenda kujiajiri mwenyewe. Kwa heri utumwa, Kwaherini walimu. KWAHERINI. Usiniige kama hujajipanga. Nina sh milioni 2. naenda kuipanda. Hii sio ndogo kwangu. Sirudi tena kufunza.

Mkuu una mawazo mazuri sana. Kama unavyosema yabidi kujipanga na siyo kukurupuka.

Hivi na zile pesa zetu za mifuko ya jamii mfano NSSF, PPF, LAPF zinatoka au ndio hadi miaka 60?????

Ufafanuzi please maana hizi kwa mtu uliyechangia miaka 30 ni tosha kabisa kuanza maisha mapya.

MWENYE KUELEWA ENDAPO KAMA WANAACHIA AU BADO WANAZIBANA>
 
Acha kazi uone jinsi ilivyongumu kupata kazi.Ukiondolewa kwenye Lawson kwa sasa hurudishwi.Wenzako wengi walikimbia wakidanganywa kua mtaani kulaini.Fanya miradi ukiwa ndani ya ualimu.Kama unabisha acha kazi kama hutaleta Uzi hapa.
Akiacha kwa utaratibu sio tabu
 
Back
Top Bottom