mwinyigumba
Member
- Nov 15, 2016
- 28
- 8
Gud...
Hahahaa umeona, Jamaa fullu muoga tena uoga wa kiwango cha panya, ukitaka kuacha kazi wewe acha watu watakuja kushituka usha achaWanaoacha kazi serious hawatangazi kwa mihemko mitandaoni - Grow Up Dude
Wewe huna mpango wa kuacha kazi na inaonyesha wewe ni muoga fullu. Ukitaka kuacha acha kimya kimya, ushauri wa nini tena unataka? ndo yale mtu anataka kujinyonga anaomba ushauri ajinyonge vipi? kwa kutumia kamba, sumu, ajipige risasi, ajirushe,Ninakaribia 30. Nafundisha sekondari, somo la Basic Mathematics. Sina furaha na kazi yangu kwa sababu kipato hakiendani na kasi ninayoipenda. Nimegundua kuwa na degree hakuendani na kipato. Bado tunatishwa tishwa. Walimu nimegundua ni waoga. Hasa kufanya maamuzi magumu na sahihi. Mwalimu wa Tanzania anaishi kimaskini. Naacha kazi, naenda kujiajiri mwenyewe. Kwa heri utumwa, Kwaherini walimu. KWAHERINI. Usiniige kama hujajipanga. Nina sh milioni 2. naenda kuipanda. Hii sio ndogo kwangu. Sirudi tena kufunza.
Ukitangaza utakutana na watu waoga watakupa ushauri wa kiioga mpaka unaahirisha wazo lako!....Hahahaa umeona, Jamaa fullu muoga tena uoga wa kiwango cha panya, ukitaka kuacha kazi wewe acha watu watakuja kushituka usha acha
Point mkuu, jamaa hana mpango wa kuacha na kama ni kuacha lazima utafute watu wa kukushairi na watu hao ni wa namna gani?Unataka kujiajiri for wrong reasons na kufikiri kujiajiri ni kuakimbia matatizo yako. Kijana you need a mentor ambaye ni mfanya biabishara akupe A to Z kisha ufanye ifnrmed decision. Biashara inahitaji uifanye kwa moyo ndo utafanikiwa na si kwa sababu ilizozitaja hapo juu. Ushauri wangu mtafute mtu aliyefanikiwa ndo akupe ushauri don't seek advice from losers
kweliUkitangaza utakutana na watu waoga watakupa ushauri wa kiioga mpaka unaahirisha wazo lako!....
Point mkuu, jamaa hana mpango wa kuacha na kama ni kuacha lazima utafute watu wa kukushairi na watu hao ni wa namna gani?
Mkuu nipo impressed sana na kilimo hasa Moro. Plz naomba nisaidie japo mwanzoni tu niweze kutimiza ndoto zangu.Shamba lipo Moro maji ya uhakika ardhi yenye rutuba kuvuna 100% guaranteed.
Ni wazo nzur tena sana, lakn nikushaur kitu 0674010013Ninakaribia 30. Nafundisha sekondari, somo la Basic Mathematics. Sina furaha na kazi yangu kwa sababu kipato hakiendani na kasi ninayoipenda. Nimegundua kuwa na degree hakuendani na kipato. Bado tunatishwa tishwa. Walimu nimegundua ni waoga. Hasa kufanya maamuzi magumu na sahihi. Mwalimu wa Tanzania anaishi kimaskini. Naacha kazi, naenda kujiajiri mwenyewe. Kwa heri utumwa, Kwaherini walimu. KWAHERINI. Usiniige kama hujajipanga. Nina sh milioni 2. naenda kuipanda. Hii sio ndogo kwangu. Sirudi tena kufunza.
Ninakaribia 30. Nafundisha sekondari, somo la Basic Mathematics. Sina furaha na kazi yangu kwa sababu kipato hakiendani na kasi ninayoipenda. Nimegundua kuwa na degree hakuendani na kipato. Bado tunatishwa tishwa. Walimu nimegundua ni waoga. Hasa kufanya maamuzi magumu na sahihi. Mwalimu wa Tanzania anaishi kimaskini. Naacha kazi, naenda kujiajiri mwenyewe. Kwa heri utumwa, Kwaherini walimu. KWAHERINI. Usiniige kama hujajipanga. Nina sh milioni 2. naenda kuipanda. Hii sio ndogo kwangu. Sirudi tena kufunza.
Akiacha kwa utaratibu sio tabuAcha kazi uone jinsi ilivyongumu kupata kazi.Ukiondolewa kwenye Lawson kwa sasa hurudishwi.Wenzako wengi walikimbia wakidanganywa kua mtaani kulaini.Fanya miradi ukiwa ndani ya ualimu.Kama unabisha acha kazi kama hutaleta Uzi hapa.
Paycheck to paycheck until u dieKauli yako tu inaonyesha huwezi kuwa independent....utaishi kwa paycheck mpaka uzeeni!....
Elii weka link yake hapa watu wausomeMkuu MUNGU ni mwema sijafa nipo, nimefurahi sana kumbe watu waliusoma
Njoo uku tuuze dawa za kuongeza makalio na nguvu za kiume inalipa Sana hutojuta
hongera mkuu na mimi nina wazo kama lako ila bado sijatake action, Mungu akuongoze