Mkuu hakuna sehemu binaadamu akili anaiweka pembeni kama kwenye hela na madaraka. Uzalendo mdomoni lakini hela ndio mzalendo pekee duniani.
Wengi unao waona wazalendo ndio haohao wanao tumika kuuza rasilimali za nchi hii.
Siasa ni ujanja Zitto kapiga hela za kutosha yule mwamba, kapiga hela ya ccm kwa kuisaliti Chadema. Akapiga hela kwa kuiuza ACT kwa Wazenji sasa kaona hela inamtosha awe juu afanye yake.
Unajua kama Ottoman Empire imetawala Middle East mpaka east Europe kwa miaka zaidi ya 1,000. Na waliwaachia watu waabudu wanacho amini kuabudu, Mfano pale Jerusalem jamii ya waislam,wakristo na wayahudi. Wote wanafanya ibada sehemu karibu na nyumba zao za ibada.
Angalia Syria ilivyo kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.