Kuna mlokole mmoja wa kichaga ana trakoo hataree nimeomba mzigo, alikataa katakata eti anasema wanaume wa pwani wazee wenu washa wachagulia wachumba zenu.
Yeye nitamtumia tu na baadae kumkimbia nilisomesha kwa sana lakini hajakubali kunipa trakoo.
Ina maana hujawahi kukojozwa😳 Bro Stroke kakucheki pm umeifunga alitaka kukuonesha utamu wake😉.
Kama mwanamke mzuri unajipa pongezi(Kama umepewa ride kwenye V8 ukiwa unatoka shambani )lakini kama sura kama babu Wasira. Utaishia kujilaumu tu🤣🤣
Lakini nani aliweza kuamini kama mbabe wa dunia anachapwa na kinchi alicho iwekea vikwaze miaka zaidi ya arubaini.
Zile movies za Rambo na Komandoo kumbe upuuzi mtupu🤣🤣
Comment yangu haiendani na uzi. Nimeuliza Mwanamke anapata wapi sauti ya kukataza mwanaume kuwa na mchepuko wakati yeye mwenyewe alikuwa mchepuko kabla ya ndoa.
Kama unavaa boxers za Polyester wacha haraka sana hio ndio inayo sababisha mpaka kizazi itakatisha . Nunua boxers za cotton zina bei lakini utakuja Ona tafauti yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.