Putin kwani yeye akihojiwa hujibu kwa kiingereza?..
Kiingereza kwa waingereza na Kiswahili kwa mswahili, Jee hapo huyo alie muhoji kafahamu Kiswahili?. Samia anatakiwa aongee Kiswahili kokote pale ili kukikuza Kiswahili.
Muarabu akipeleka malalamiko juu yako(mweusi) defender nzima itakuja kukuchukuwa. Nenda wewe kalalamike juu yake Muarabu watakufukuza. Hata muuza chipsi kuku atamuuzia mwarabu kabla yak🤣😂
Gwajima ni mpiga dili tu anatuzuga watanzania kama anavyo wazuga waumini wake.
Lakini kwanini Tanzania ina viongozi wa hovyo sana🤣🤣 kwanini hamjadili kuleta maisha bora kwa wananchi. Na mnaishia kujadili kiazi Gwajima🤣
Nyerere alikuwa mwalimu wa hayo mambo Karume na Kassim Hanga aliwanyoosha.
Kambona aliishia kukimbilia Uingereza. Sasa Mkapa na Kikwete walikuwa wanafunzi wa Nyerere hivi mwalimu akigeukwa na wanafunzi wake inakuwa vibaya?.
Samia Suluhu ni mtu mzuri sana ila chama chake na baadhi ya washauri na viongozi wake sio wenye wema kwenye nafsi zao.
Unaweza kuwa Sheikh au Pastor lakini watoto wako na mkeo wakawa na tabia mbovu lawama zikatupiwa kwako kama kiongozi wa Nyumba.
Haya mambo ya mauaji na ubakaji yamekuwa kawaida kule Zanzibar, ila wakilalamika waZanzibar kuna watu wakisema nyinyi magaidi bora yawafike. Hawakujua adui hana rafiki au niseme mla kuku wa mwenziwe miguu humuelekea.
Serikali ya ccm watanzania wote wana haki sawa na wengine, Kulalamika kwa...
Kuna mshkaji alikuwa akinitumia video za porn nilimpa BIG WARNING asinitumie ujinga huo. Jamaa kapotea mazima kuna baadhi ya wanaume mashoga wanatumia njia ya video za porn kama kukuonesha tabia zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.