Recent content by Killa Cam

  1. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Mbingu ya Waislamu inatamanisha na kusisimua kuliko ya Wakristo.

    Mtu akipata hela anasa yake ni Mwanamke na Pombe, sasa Angalia Wafalme na Manabii wote ndio huongoza kwa kuwa na wanawake/wake wengi.
  2. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Nashauri usije ukajiroga ukapenda Mnyarwanda. Nilimpata Ughaibuni ni matatizo matupu

    Unahonga 40m ila Waganda mnapenda kuhonga kuna Mganda namjua amehonga zaidi ya $500k kwa mwanamke wa Kikenya.
  3. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Yuda Fever: Nyumba nyeupe haikaliki analala Zanzibar

    Wachawi wa bara hawa wawezi wachawi wa Kipemba.
  4. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Dalili za mwanaume maskini ni hizi

    Wanaume wanao honga wote wapuuzi(ndondocha/misukule) unawezaje kuhonga papuchi ilio tumiwa kama daldala ya Bunju B?. Wakati wazee wa mwanaume wana makaazi magumu pamoja na Ndugu zake?.
  5. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Mimi nikajua waarabu wanalindwa bure na mshikaji wao USA kumbe wanalipia bwana

    Hizo tawala ziliwekwa na Uingereza ili kutawala hapo, hizo familia zao zikikaidi tu ndio mwisho wa utawala wao hizo familia. Hazina njia ya kutoka kwenye huo mkataba kumbuka ulinzi wa USA ndio manufaa yao kubaki hapo madarakani.
  6. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Influencer na rafiki wa Davido afariki wakati akifanyiwa upasuaji wa kuongeza ukubwa wa uume

    Miaka 43 ndio kajua kama ana kibamia?. Sasa hata nguvu za Kitombi..a zishaisha huo ukubwa wa nini aliutaka?. Sawa na kizee cha 70’s kuweka meno bandia ili apate kula minofu ya nyama
  7. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tunatofautiana , Mfanyabiashara umehaso hatimae una bilioni 10, unaendelea kuhaso kumfurahisha nani ? wengine tukizipata tunastaafu mapema

    Usisahau na kusafiri(Family vacation) na matibabu na watoto kusoma shule za harama nchini na nje ya nchi. Pia hela inashuka samani kwahio lazima uwende na value yake. Hivi mleta uzi amesikia wapi mtu akiwa bonge hasikii njaa au ametosheka na kula🤣🤣
  8. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tunatofautiana , Mfanyabiashara umehaso hatimae una bilioni 10, unaendelea kuhaso kumfurahisha nani ? wengine tukizipata tunastaafu mapema

    1) Tatizo hizo billion huwepo kwenye HISA au BOND au kwenye mzunguko wa biashara. 2) Hela haina kutosheka kila ukiipata ndio unazidi kuongeza zaidi.
  9. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Nimeshtukaa! Kumbe wanawake wa Tarime wana Mikia namna hii!.

    Utanifanya mzinifu mwenye PHD nikimbilie huko wiki hii🤣🤣
  10. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania 2030 Itafika, hakuna katiba mpya, hakuna tume huru ya uchaguzi na uchaguzi utafanyika na CCM itaendelea kuongoza na maisha yataendelea

    2030 Mama nasikia ana gombania tena ccm wanasema Nyerere alikaa miaka 25 kwanini mama nae asifanye kama Nyerere?.
  11. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeomba mkopo Hazina, naanza kupigiwa simu na wanaojitambulisha Wafanyakazi wa Hazina kuwa niwakumbuke nikipata hela

    Yaani mkopo wakupe na wanataka uwape rushwa kwenye mkopo kwahio riba watashiriki kulipa nao?.
  12. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Nakwenda kubadili Jina soon.

    Kwanini usijiite jina la kwenye avatar yako Michael Jai White?.🥋
  13. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Card B afunguka juu ya penzi lake na golikipa wa Nigeria Maduka

    Mwanaume unawekeza kwenye mzuka/mikeka(kamari) halafu ukiambiwa ume filisika unabaki kuuliza ilikuwaje 🤣🤣 Madoka anajua Cardi B ni strippers na entertainer hana real love, kwanini unapendana na Mwanamke asie weza kuzeeka nae?.
  14. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Mufindi: Akamatwa akijaza pombe bandia kwenye Chupa

    Tatizo nini sasa hizo pombe hazileweshi au hazilipiwi kodi?. Mbona Serikali inaongoza nchi chini ya kiwango nayo inataka ikamatwe?.
  15. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Nakwenda kubadili Jina soon.

    🤣🤣 mwanagu kipindi hiki cha mama napiga makendo na ufisadi mpaka namshanga kumuona mtanzania masikini😂😂
Back
Top Bottom