Wanaume wanao honga wote wapuuzi(ndondocha/misukule) unawezaje kuhonga papuchi ilio tumiwa kama daldala ya Bunju B?. Wakati wazee wa mwanaume wana makaazi magumu pamoja na Ndugu zake?.
Hizo tawala ziliwekwa na Uingereza ili kutawala hapo, hizo familia zao zikikaidi tu ndio mwisho wa utawala wao hizo familia. Hazina njia ya kutoka kwenye huo mkataba kumbuka ulinzi wa USA ndio manufaa yao kubaki hapo madarakani.
Miaka 43 ndio kajua kama ana kibamia?. Sasa hata nguvu za Kitombi..a zishaisha huo ukubwa wa nini aliutaka?. Sawa na kizee cha 70’s kuweka meno bandia ili apate kula minofu ya nyama
Usisahau na kusafiri(Family vacation) na matibabu na watoto kusoma shule za harama nchini na nje ya nchi. Pia hela inashuka samani kwahio lazima uwende na value yake.
Hivi mleta uzi amesikia wapi mtu akiwa bonge hasikii njaa au ametosheka na kula🤣🤣
Mwanaume unawekeza kwenye mzuka/mikeka(kamari) halafu ukiambiwa ume filisika unabaki kuuliza ilikuwaje 🤣🤣
Madoka anajua Cardi B ni strippers na entertainer hana real love, kwanini unapendana na Mwanamke asie weza kuzeeka nae?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.