Recent content by Killa Cam

  1. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Uzinzi Unaua Akili Yako. Acha Uzinzi.

    Kuna mlokole mmoja wa kichaga ana trakoo hataree nimeomba mzigo, alikataa katakata eti anasema wanaume wa pwani wazee wenu washa wachagulia wachumba zenu. Yeye nitamtumia tu na baadae kumkimbia nilisomesha kwa sana lakini hajakubali kunipa trakoo.
  2. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Ati, "inategemea". 🤮

    Ndio inategemea manake alinicheki nikamwabia hela ikitiki nitamrushia ya kukata au kusuka. Dingi Lai punguza mpresha mzee wa 70’s.
  3. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Hawa Wazee wa kimila niliowaona leo kizimkazi, watatusaidia vipi kufika Uchumi wa Kati na Kuyafikia mapinduzi ya Kiteknolojia?

    Kuna Rais wa Tanzania alimaliza muda bila ya kuonana na hao wazee wa mila??.
  4. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Ungekuwa wewe, ungechagua safari ipi?

    Biashara kwanza papuchi mnuko tupa kureee😉🤣😂
  5. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Watu wamejimaliza sana kumpa pesa ya hongera Zuchu, sasa je mkiwa na majambo yenu mnatarajia naye atafanya hivyo?

    Lakini tuseme ukweli mtoto kaja duniani tu account inasoma million 400. Hio hela ni sawa na thamani ya Nyumba ya urithi ya bibi yangu.
  6. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Mwenge una thamani kuliko raia kumbe?😳 nilikuwa sijui
  7. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Je, Ni Kweli Ukifika Kileleni Unakuwa Mwepesi?

    Ina maana hujawahi kukojozwa😳 Bro Stroke kakucheki pm umeifunga alitaka kukuonesha utamu wake😉. Kama mwanamke mzuri unajipa pongezi(Kama umepewa ride kwenye V8 ukiwa unatoka shambani )lakini kama sura kama babu Wasira. Utaishia kujilaumu tu🤣🤣
  8. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Sipendi watu wanafiki na waongo mimi

    Mguu mtamu una na hinna ya mbali na hako kachumbari(kikuku) Dr Mari naumwa nije wapi jamooniii😂🤣
  9. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya kitabu: How to win friends and influence people

    Sisi wengine tunakimbia marafiki kumbe kuna vitabu vya kutafuta marafiki🤣🤣
  10. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Open-Source Intelligence: Silaha ambayo Iran Haikulazimika Kuinunua

    Lakini nani aliweza kuamini kama mbabe wa dunia anachapwa na kinchi alicho iwekea vikwaze miaka zaidi ya arubaini. Zile movies za Rambo na Komandoo kumbe upuuzi mtupu🤣🤣
  11. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Wanawake Kiasili Wana "Allergy" na Wanaume Wafupi? Huu Ni Mtazamo Wangu Tu

    Hata wanaume tupo kama wao hivi uta date kismall kijeba kweli kana misulu ya mikono na miguu na katako konzi🤣🤣
  12. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Comment yangu haiendani na uzi. Nimeuliza Mwanamke anapata wapi sauti ya kukataza mwanaume kuwa na mchepuko wakati yeye mwenyewe alikuwa mchepuko kabla ya ndoa.
  13. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Mke alikuwa mchepuko wako zamani sasa yeye anakukataza kuwa na michepuko hii nafasi ya kukukataza kapewa na nani?.
  14. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Kama unavaa boxers za Polyester wacha haraka sana hio ndio inayo sababisha mpaka kizazi itakatisha . Nunua boxers za cotton zina bei lakini utakuja Ona tafauti yake.
  15. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke mwenye sifa hizi

    Unae mtafuta kuwa mke kishakuwa mke wa mtu alipokuwa chuo😂🤣
Back
Top Bottom