Recent content by Killa Cam

  1. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Lugha rasmi Tanzania ni Kiswahili na kilugha cha makabila tu, English Kenya tena walio kwenda shule
  2. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Putin kwani yeye akihojiwa hujibu kwa kiingereza?.. Kiingereza kwa waingereza na Kiswahili kwa mswahili, Jee hapo huyo alie muhoji kafahamu Kiswahili?. Samia anatakiwa aongee Kiswahili kokote pale ili kukikuza Kiswahili.
  3. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Kuna Yuda Msaliti ndani ya Serikali hili anatafuta huruma kanisani

    Muarabu akipeleka malalamiko juu yako(mweusi) defender nzima itakuja kukuchukuwa. Nenda wewe kalalamike juu yake Muarabu watakufukuza. Hata muuza chipsi kuku atamuuzia mwarabu kabla yak🤣😂
  4. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Kuna Yuda Msaliti ndani ya Serikali hili anatafuta huruma kanisani

    Gwajima ni mpiga dili tu anatuzuga watanzania kama anavyo wazuga waumini wake. Lakini kwanini Tanzania ina viongozi wa hovyo sana🤣🤣 kwanini hamjadili kuleta maisha bora kwa wananchi. Na mnaishia kujadili kiazi Gwajima🤣
  5. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Kuna siku ukweli wote utajulikana wazi kuhusu kifo cha Nyerere, lakini kwa wenye akili alichosema Jenerali Ulimwengu kinatosha

    Nyerere alikuwa mwalimu wa hayo mambo Karume na Kassim Hanga aliwanyoosha. Kambona aliishia kukimbilia Uingereza. Sasa Mkapa na Kikwete walikuwa wanafunzi wa Nyerere hivi mwalimu akigeukwa na wanafunzi wake inakuwa vibaya?.
  6. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Mshana Jr 🎂✨

    Yupo busy kilingeni leo HAPPY BIRTHDAY 🎉🎂 KAKA MKUU
  7. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Mke wangu alipata muarabu akaolewa naye, wakaachama akarudi kwangu nikamuoa tena

    Sio hasira tu hata ukiwa bwege utakufa huku unajiona, kama angechululiwa na Mzaramo,Mmakonde au Mweusi mwenzio ungemrejea huyo?.
  8. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Mtu atusaidie kumnyang'anya Nyahoza Kalamu

    Huyu nae kiongozi ana kauli za kijinga nae lazima atakuwa mjinga tu🤣😂
  9. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania CCM endeleeni kujidanganya- maridhiano bila Chadema ni kupoteza muda, chadema walisema no reform no election mkadharau, je uchaguzi ulifanyika?

    Ccm ni dola sio chama cha siasa kila anae pingana nao wanampa pumziko la milele.
  10. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Mke wangu alipata muarabu akaolewa naye, wakaachama akarudi kwangu nikamuoa tena

    Mwaarabu alirequest papuchi hio kama usafiri wa Bolt, kafika safari yake kakuachia kibajaji chako🤣😂
  11. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan bado ni kiongozi imara na bora kabisa. nimeweka mifano halisi

    Samia Suluhu ni mtu mzuri sana ila chama chake na baadhi ya washauri na viongozi wake sio wenye wema kwenye nafsi zao. Unaweza kuwa Sheikh au Pastor lakini watoto wako na mkeo wakawa na tabia mbovu lawama zikatupiwa kwako kama kiongozi wa Nyumba.
  12. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Majina ya hawa watoto waliouliwa…..

    Haya mambo ya mauaji na ubakaji yamekuwa kawaida kule Zanzibar, ila wakilalamika waZanzibar kuna watu wakisema nyinyi magaidi bora yawafike. Hawakujua adui hana rafiki au niseme mla kuku wa mwenziwe miguu humuelekea. Serikali ya ccm watanzania wote wana haki sawa na wengine, Kulalamika kwa...
  13. Killa Cam

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuangalia kwa muda mrefu porn kunaweza kusababisha watu kuendelea kutafuta maudhui makali zaidi na mwisho kujaribu vitendo vya ushoga

    Kuna mshkaji alikuwa akinitumia video za porn nilimpa BIG WARNING asinitumie ujinga huo. Jamaa kapotea mazima kuna baadhi ya wanaume mashoga wanatumia njia ya video za porn kama kukuonesha tabia zao.
  14. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Kuota udongo ndotoni

    Ndoto ni nafsi iliotoka kwenye mwili wako na kukupa habari zijazo(ndoto ni jasusi wako)
  15. Killa Cam

    JamiiForums Tanzania Andiko la mchekeshaji Shafii, limeniumiza sana mimi kama kijana

    Kila nikiangalia Shafii namuona kama wali harage flani hivi🤣😂
Back
Top Bottom