Recent content by Killa Cam

  1. Killa Cam

    Bei ya Mafuta imepanda kwa 65% Nigeria

    Halafu wanazalisha mafuta hawa🤣🤣
  2. Killa Cam

    Wenye majina ya Kindamba wanajisikiaje?

    Ahmada Umelewa😂😂 Yule muimbaji wa kinaija si alimuimbia Johnny nae🤣🤣
  3. Killa Cam

    Kozi gani fupi inaweza kunifanya ni jiajiri haraka?

    Mahojiano ya juzi ya Bakhresa alisema hajamaliza shule alianzisha biashara kwa mtaji mdogo tu. Unacho kisomea shule sicho unachofanya kwenye ajira.
  4. Killa Cam

    Picha: Namna ya kupenyeza agenda yako nchi za Afrika kama Tanzania

    Daktari wa surgery za tenzi dume 😂
  5. Killa Cam

    Rabia Hamid: CCM haiwezi kuondoka leo wala kesho

    Viongozi wengi wa ccm wana vyeti vya mirembe sasa huyu mmoja wao🤣🤣
  6. Killa Cam

    Iran Imetoa Tahadhari Meli Yoyote Inayo Kwenda Israel Itaishambulia

    Vita visikie kwa jirani tu usiombe vikufike rasharasha ya October 29 mpaka leo watu wameona matokeo yake.
  7. Killa Cam

    Iran bado ina nguvu za kijeshi

    Hii vita ndio kwanza ipo kipindi cha kwanza hata kipenga cha half time bado
  8. Killa Cam

    Napitia kipindi kigumu sana, naomba msaada wenu wana JamiiForums

    Nimesoma comments yako sasahivi kwenye uzi wa kuishi ukweni. Sasa wewe una mke sasa huyu mwanafunzi umetolea wapi?.
  9. Killa Cam

    Vijana nisikilizeni, mwanaume wa ukweli hakai ukweni.

    Kama wakwe ni wahindi itakuwaje hapo😂😂
  10. Killa Cam

    Bila Suzan S. Kaganda kuwa IGP, tugomee maridhiano Samia Suluhu na Watanganyika. Wambura ni Pandikizi

    Mkuu hakuna sehemu binaadamu akili anaiweka pembeni kama kwenye hela na madaraka. Uzalendo mdomoni lakini hela ndio mzalendo pekee duniani. Wengi unao waona wazalendo ndio haohao wanao tumika kuuza rasilimali za nchi hii.
  11. Killa Cam

    Zitto Kabwe kafa kifo kibaya kwenye siasa bado akiwa na umri mdogo sana kisiasa Kuendekeza njaa

    Siasa ni ujanja Zitto kapiga hela za kutosha yule mwamba, kapiga hela ya ccm kwa kuisaliti Chadema. Akapiga hela kwa kuiuza ACT kwa Wazenji sasa kaona hela inamtosha awe juu afanye yake.
  12. Killa Cam

    Pamoja na Upuuzi wa Khamenei Lakin baada ya vita ya Kagera alitukopesha mataifa yote yakiwa yametutenga! Ila bado alikuwa mwema kipindi hicho

    Unajua kama Ottoman Empire imetawala Middle East mpaka east Europe kwa miaka zaidi ya 1,000. Na waliwaachia watu waabudu wanacho amini kuabudu, Mfano pale Jerusalem jamii ya waislam,wakristo na wayahudi. Wote wanafanya ibada sehemu karibu na nyumba zao za ibada. Angalia Syria ilivyo kuwa na...
  13. Killa Cam

    Zitto Kabwe kafa kifo kibaya kwenye siasa bado akiwa na umri mdogo sana kisiasa Kuendekeza njaa

    Wanasiasa wengi hawadumu kwasababu unatakiwa uwe na PHD ya uwongo. Wewe unasema Zitto mjomba Mbowe tokea aondoke uwenyekiti nae kapotea mazima.
Back
Top Bottom