Hakuna kundi la muziki ambalo limewahi kuwa bora kama wenge.Marehemu kabila alipambana jamaa waungane tena ikashindikana maana walikuwa wanatuhumiana Kwa uchawi.
Hivi kuna kiongozi aliekuwa anaogopeka kama mubarak?kwa nini watanzania tusiingie barabarani.maana haya mawaziri yetu hayasikii.angalau watu watoke na magari yao wayapaki barabarani ili tuanze mgomo wa nchi nzima.mawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.