lovebitelol
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 964
- 972
Nimedanganya sana na kufyeka wanawake wanaopenda wanaume weupe na warefu.Mnachagua sana ndo shida... ona hata wa kuzaa naye umeweka hadi rangi jinsi mlivyo wachaguzi
Nimedanganya sana na kufyeka wanawake wanaopenda wanaume weupe na warefu.Mnachagua sana ndo shida... ona hata wa kuzaa naye umeweka hadi rangi jinsi mlivyo wachaguzi
katika maisha yangu hapa JF cjawah kubonyeza button ya like katika comment yeyote hapa naomba niwe wa kwanza kubonyeza button ya like kwa comment yako hiiDegree zangu zatosha na mtoto hubeba akili ya mama so baba hata akiwa la saba kwangu its ok
Financial donor nooooo!!!........mimi ni donor wa dyudyu,unahitaji dear!single mother ndo nini? kuna double mother?
ukipata uniambie dear na mimi nataka financial donor

Unataka kutengeneza shida nyingine tu, nasikia (narudia,nasikia) watoto wengi (sio wote) wanaolelewa na single mothers ndo hawa wanaofukuzana na Makonda leo (MASHOGA)
Na baada ya kuvaa hivyo inaelekea kusikojulikana..wa pili wewe, hii dunia sasa haieleweki imevaa boksa au bikini, shida tupu
Saa zingine mtoto anaeza rithi tabia za babaNdomana nahitaji sperms zako tu, no more
Nimetuma ujumbe PM muda sasa sijajibiwa madam. Au foleni kubwa?Inategemea na ulimpataje, kama ulimtafuta as I do wala hawezi fukuzana na makonda ila kama alikuja Kwa bahati mbaya basi tegemea hayo
Kuna inherited characters piaMalezi pia huchangia
Ila naomba nikueleze kitu kimoja, kufikia hatua hii kwanza sio tamaduni zetu maana hakuna sehemu mtu anahitaji mtoto ambae baba hajulikani pamoja na kuwa inaweza tokea bahati mbaya. wewe unajiwekaje mpaka kufikia kukwama ivo? ujue kufikia hatua hiyo nafikiri kuna the way ambavyo unaweza kuwa unajiweka kukufikisha hapa (inawezekana) so jikague maana hakuna mtu ambaye yuko tayari kuzaa na mtu ambaye binafsi anaona hana sifa za kumzalia mtoto, maana sio kila mwanamke ana sifa za kuwa mamaInategemea na ulimpataje, kama ulimtafuta as I do wala hawezi fukuzana na makonda ila kama alikuja Kwa bahati mbaya basi tegemea hayo
yaani kaka ni hatari, ni kweli iliandikwa kuwa wanawake watatafuta wanaume wa kuwamilikisha majina lakini sio kwa staili hii, duh!Na baada ya kuvaa hivyo inaelekea kusikojulikana..
Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.
Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).
Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm
Ila naomba nikueleze kitu kimoja, kufikia hatua hii kwanza sio tamaduni zetu maana hakuna sehemu mtu anahitaji mtoto ambae baba hajulikani pamoja na kuwa inaweza tokea bahati mbaya. wewe unajiwekaje mpaka kufikia kukwama ivo? ujue kufikia hatua hiyo nafikiri kuna the way ambavyo unaweza kuwa unajiweka kukufikisha hapa (inawezekana) so jikague maana hakuna mtu ambaye yuko tayari kuzaa na mtu ambaye binafsi anaona hana sifa za kumzalia mtoto, maana sio kila mwanamke ana sifa za kuwa mama