Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

Kama kweli serikali imehusika hata kama Rais asingeliongelea bado ukweli unabaki pale pale kuwa serikali haitakaa ikubali kuwa imehusika.

Unajua kwa namna moja au nyingine upo uwezekano kuwa askari wanaotajwa wamefanya hicho kitendo kwa ufisadi wao wa kifikra kwa kuwa walikabidhiwa jukumu la kufuatilia mwenendo wa mgomo, kwa kuwa kazi hiyo ilikuwa inawanyima muda wao wa kufanya kazi nyingine kwa kuitwa kila mara kuelezea kinachoendelea waliona ni jambo la busara sasa kutumia ufinyu wao wa kufikiria (kwa maana hapo ndipo akili yao ilipofikia ukomo) wakaona ni bora kumuua Dr. Ulimboka.

Kwa mazingira hayo upo uwezekano Mkubwa kabisa kuwa viongozi waliowapa kazi ya kufuatilia mwenendo wa mgomo wa Madaktari kushindwa kuamini kama askari hao wangeweza kutenda unyama huo.

Tatizo lingine linalojitokeza hapa ambalo halijatolewa ufafanuzi ni kwamba katika maelezo ya Dkt Ulimboka, anaeleza kuwa walienda leaders na Dkt. Mwezake na hata wakati anatekwa walikuwa na Dkt. Mwenzake ambapo watekaji walisema hawana shinda na mtu mwingine ila yeye tu Dkt. Ulimboka, iweje huyo Dakt. waliyekuwa naye anashindwa kuelezea kilichotokea na wakati walikuwa na Ulimboka muda wote? na kwa nini alichukua muda mwingi bila kumfuatilia mwenzake? katika hali ya kawaida uko na rafiki yako au jamaa unaona amekamatwa ni busara tu kuwa angefuatilia kujua anapelekwa kituo gani cha polisi na hivyo angesaidia kupatikana kwa taarifa mapema kuliko alivyojinyamazia. Upo uwezekano wa kuwa na mashaka na huyo Dakt. katika hili.
 
Anyone did this, he is damn right, if I were at Pande I would have separated his head from him body, innocent civilians are dying or suffering. If he declared death sentence to poor Tanzanians, why should he live anyway. After all Docs kwenye hospital za serikai siku hizi wasanii sana, hata uwalipe 6m they will never change their attitude. Tanzania yatatoka wapi mazingira bora wakati kila sector imeoza? serikalini yenyewe haina vichwa, wahuni wengi.
 
Dhaifu vs dikteta

1.jpg

KP-Juni-20.jpg
 
Anyone did this, he is damn right, if I were at Pande I would have separated his head from him body, innocent civilians are dying or suffering. If he declared death sentence to poor Tanzanians, why should he live anyway. After all Docs kwenye hospital za serikai siku hizi wasanii sana, hata uwalipe 6m they will never change their attitude. Tanzania yatatoka wapi mazingira bora wakati kila sector imeoza? serikalini yenyewe haina vichwa, wahuni wengi.

Dah, Ila kizungu chako kimekaa kivyakevyake kiasi kuwa sijui kama unaowaandikia watakifahamu kwa vile mwenzetu unatumia kizungu kigumu hasa kile cha ndani kweli kweli.
 
Anyone did this, he is damn right, if I were at Pande I would have separated his head from him body, innocent civilians are dying or suffering. If he declared death sentence to poor Tanzanians, why should he live anyway. After all Docs kwenye hospital za serikai siku hizi wasanii sana, hata uwalipe 6m they will never change their attitude. Tanzania yatatoka wapi mazingira bora wakati kila sector imeoza? serikalini yenyewe haina vichwa, wahuni wengi.
At least DRs are ignating the start button to look for solutions, it is unfortunate that most of us are still waiting for the miracles from heaven and probably you too. And so, we are not suppose to be on either way.
 
Udaktari ni wito zaidi ya fani. Waliosomea udaktari wanalijua vyema jambo hili. Isitoshe walikula kiapo cha kufanya kazi kwa mshahara waliokubaliana na mwajiri wao. Kwanini leo waanze kuleta longolongo zao?. Kama ni wivu wa kuona wabunge wanalipwa mishahara mikubwa basi na wao wakawe wabunge hakuna haja ya kuiumiza kichwa serikali. Ninakubaliana na maamuzi ya Raisi Kikwete kwa 100% asiyekubali mshahara na malupulupu yaliyopo basi aondoke haraka sana bila kuchelewa. Serikali haitashindwa kupata madaktari wengine.
 
Labda kaitolea katikati ya Msitu wa MabwePande mbele ya binamu zangu ndezi na kima baada ya kumaliza ufunguzi wa sibitali ya mapadri.
 
At least DRs are ignating the start button to look for solutions, it is unfortunate that most of us are still waiting for the miracles from heaven and probably you too. And so, we are not suppose to be on either way.

bro madakitari ni pumbavu, button gani wameanzisha? hivi wewe nani amewapa dhamana ya kuwatoa watoto na watanzania masikini kafara? hivi wewe kama mwanao angekuwa amefariki kwa ajili ya huu mgomo si ungekuwa wa kwanza kumteka huyo docta, watu wengi wasanii bongo hadi housigeli anaomba rushwa, madocta ndio usiseme wanaiba mpaka dawa na vifaa vya hospitali kwenda kwenye dispensari zao, most of them are jst as selfish as mafisadi wanaoiba mabilioni, tatizo kubwa letu watanzania tunapenda radio mbao, bila kufuatilia facts, rahisi ameweka facts mezani, hauwezi kushinda hoja kwa kutaka upate kila kitu, unakaa mezani unanegotiate, thats hows things works, mimi nilisikia kwenye radio mbao maneno mengi leo rahisi kanishushua kwa facts even though sijavalidate hizo facts but zinaonekana ziko genuine, wamechanga hela fasta kumtibia docta mwenzao, $40k hiyo wangenunua mashine moja ya c-t scan kuokoa maisha ya watanzania
wengi kwa kumtoa rehani huyo docta mwenzao anzeni kujibu kwa vitendo sio maneno, ya;ll gotta get ur act 2gther sio mnafanya mambo kiholela kama mmetoka jalalani, plan better. da!@#$
 
Maswali????? yeye mwenyewe anajua kuwa wananchi wana maswali mengi kuliko uwezo wake wa kujibu

Uwezo wake finyu utazidi kudhihirika kama ataruhusu kuulizwa maswali, hivyo ni bora aendelee kucheza mbali na maswali. Na kuendelea na nyimbo zao za magamba za miaka nenda miaka rudi, "Nchi yetu ni maskini" "Serikali haina uwezo wa kulipa mishahara mikubwa kama inavyodaiwa na madaktari."

Sijui alipotoa kauli ya "Maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana?" Alikuwa anafikiria nini kama alijua fika "Serikali haina uwezo."
 
Yale wanayohusika mbona hawatuambii?! Mbona la Mwakyembe alijapata hotuba yake kutoka kwa Rais?!!
 
Ukisha zoea kuomba fikra zako zote utazielekeza huko.

"Serikali haitashindwa kupata madaktari wengine" Wengine kutoka wapi??

Jibu- kutoka nchi nyingine.

Tuombe fedha za mishahara- kwa sababu zetu hazitoshi
Tuombe misaada ya kujengewa barabara na madaraja - kwa sababu sisi hatuna fedha na Maengineer wa kujenga
Tuombe kusomeshewa watu bure- kwa sababu vyuo vyetu havijitoshelezi
Tuombe madaktari kutoka nje- kwa sababu wa kwetu wamegoma kwa ukosefu wa vifaa sijui hao wa nje watakuja na vyao?


Kitazui nini sasa kuomba Rais wa nchi Mawaziri na Wabunge kutoka nje??

Kwa mfano tukipata rais kutoka Saudi Arabia, UK au USA ni lazima atakuja na Mabilioni ya Dola nchi yake si tajiri?
Tukipata wabunge kutoka UK au USA watakuja namawazo mazuri kw sababu nchi zao zimeendelea pia wana uzoefu wa kupanga mipango ya maendeleo ikapangika.


Sasa tuna subiri nini kuomba tuletewe Rais kutoka Saudia ili nchi iukate overnight????


Udaktari ni wito zaidi ya fani. Waliosomea udaktari wanalijua vyema jambo hili. Isitoshe walikula kiapo cha kufanya kazi kwa mshahara waliokubaliana na mwajiri wao. Kwanini leo waanze kuleta longolongo zao?. Kama ni wivu wa kuona wabunge wanalipwa mishahara mikubwa basi na wao wakawe wabunge hakuna haja ya kuiumiza kichwa serikali. Ninakubaliana na maamuzi ya Raisi Kikwete kwa 100% asiyekubali mshahara na malupulupu yaliyopo basi aondoke haraka sana bila kuchelewa. Serikali haitashindwa kupata madaktari wengine.
 
Huna hoja.

Waliyokubaliana kayasema na ambayo serikali imekataa na hayo kayasema waziwazi na ambayo hawajakubaliana kayasema waziwazi na kasema asiyeyataka hayo ambayo serikali imeyakataa aache mwenyewe kazi. Nini zaidi usichokielewa?

Kama huna hoja kaa kimya kama wenzako.
huu ni udhaifu, nilizoea hotuba za kutoka mafichoni kuziona kwa GADAFI NA OSAMA,kwa kuwa walikuwa ktk hali tete, sasa na hapa bwana mkubwa katufanya tukeshe kusubiri live kumbe naye yaleyale ...
hakuna haja ya kung'ang'nia kuajiriwa na mwajiri ambaye hana uwezo wa kukulipa[/QUOTE
kinyume chake ni ' serikali haina haja ya kung'ang'ania kubaki madarakAni kama hAIna uwezo wa kumudu ghalama za kuendesha serikali, kwa nini isumbuke kila siku kua.dika barua za kumtaka daktari ajieleze, kutoa hotuba mafichoni , kukimbilia mahakamani na kutesa ulimboka. ni bora ikaachia wenye uwezo wa kufanya hivyo.
 
Kama kweli serikali imehusika hata kama Rais asingeliongelea bado ukweli unabaki pale pale kuwa serikali haitakaa ikubali kuwa imehusika.

Unajua kwa namna moja au nyingine upo uwezekano kuwa askari wanaotajwa wamefanya hicho kitendo kwa ufisadi wao wa kifikra kwa kuwa walikabidhiwa jukumu la kufuatilia mwenendo wa mgomo, kwa kuwa kazi hiyo ilikuwa inawanyima muda wao wa kufanya kazi nyingine kwa kuitwa kila mara kuelezea kinachoendelea waliona ni jambo la busara sasa kutumia ufinyu wao wa kufikiria (kwa maana hapo ndipo akili yao ilipofikia ukomo) wakaona ni bora kumuua Dr. Ulimboka.

Kwa mazingira hayo upo uwezekano Mkubwa kabisa kuwa viongozi waliowapa kazi ya kufuatilia mwenendo wa mgomo wa Madaktari kushindwa kuamini kama askari hao wangeweza kutenda unyama huo.

Tatizo lingine linalojitokeza hapa ambalo halijatolewa ufafanuzi ni kwamba katika maelezo ya Dkt Ulimboka, anaeleza kuwa walienda leaders na Dkt. Mwezake na hata wakati anatekwa walikuwa na Dkt. Mwenzake ambapo watekaji walisema hawana shinda na mtu mwingine ila yeye tu Dkt. Ulimboka, iweje huyo Dakt. waliyekuwa naye anashindwa kuelezea kilichotokea na wakati walikuwa na Ulimboka muda wote? na kwa nini alichukua muda mwingi bila kumfuatilia mwenzake? katika hali ya kawaida uko na rafiki yako au jamaa unaona amekamatwa ni busara tu kuwa angefuatilia kujua anapelekwa kituo gani cha polisi na hivyo angesaidia kupatikana kwa taarifa mapema kuliko alivyojinyamazia. Upo uwezekano wa kuwa na mashaka na huyo Dakt. katika hili.
Japokuwa mashabiki wa mgomo hawatayapenda Mawazo yako Lakini umefikiria some miles ahead of them
 
wewe ndiyo mpuuzi,utafanyaje majadiliano na mtu ambaye hataki kuja mezani kukaa nawe? Serikali imewaita na kuwabembeleza sana hawataki,mahakama nayo imewaita na pia ikatoa amri wasitishe mgomo hawataki,wewe ulitaka serikali ifanyekje mbona unailaumu serikali bure si vizuri acha unafiki mbona unaegemea upande mmoja kulaumu serikali tu kwa nini usiwalaumu na madaktari wadai madai yao kwa busara na wala si kwa njia ya mgomo manake ndugu zetu wanakufa roho zao hazitarudi mgomo ukiisha,bila shaka wewe utakuwa mfuasi wa chadema manake nyie chadema inasemekana ndiyo washawishi wakubwa wa fujo,maandamano na migomo yote hapa nchini wenyewe nmnafurahia ili serikali ya CCM ionekane imeshindwa kutatua kero na matatizo yanayowakabiri watanzania!

Kichaa mkubwa wewe.... Alifanya lini majadiliano na wabunge mpaka akaongeza salary toka 6m to 10m?tatizo ****** anatatua matokeo ya tukio na si kiini cha tukio.....hao doctors toka ugaibuni unafikiri watalipwa below 3.5m?mind you itakuwa twice as much.....then wewe kibaraka utasemaje?msijidai kuwa hii nchi ni yenu....tambueni kuwa mtajazana keko,segerea na kwingineko soon kwa upuuzi mhufanyao.....kafikia mwisho ya kufikiri as mkuu wa nchi......shame on u na ****** wako
 
Japokuwa mashabiki wa mgomo hawatayapenda Mawazo yako Lakini umefikiria some miles ahead of them

ukweli ni kwamba taarifa zilipelekwa polisi usiku uleule cha kushangaza ni response ya polisi maana hawakuchukua hatua zozote kama vile kuweka vizuizi ktk njia zote pia yule mtu wa usalama aliyekuwa anafanya naye mazungumzo hakusaidia bali alisamabaa kinamna hapo ndo maana jk na watu hao anaosema amewaagiza wanapata kihoro
 
Kwa nini tusiwashauri madaktari na kuwasapoti michango wawalete scotland yard wa uingereza.nadhani hapo ndo 2tapata ukweli.wana jf 2uungane kwa hilo
 
Back
Top Bottom