Tukutane hapa wapenda music wenye asili ya Congo

we ni noi
Kizazi cha kwanza au first generation baada ya kupata uhuru kilikuwa ni kizazi cha akina Niko Kasanda.

Kizazi cha pili ni cha akina Franco na TP OK Jazz akiwa na akina Simaro Lutumba, Jossy Kiambukuta, Tabu Ley, Sam Mangwana, Madilu System etc.


Kizazi cha tatu ni kile maarufu kama cha Soukous ndani humo kilianza muda kidogo kikienda sambamba na kizazi cha rhumba humo unawakuta Zaiko Langa Langa, akina Vangu, huku kwetu unakuta akina Mangelepa, Less Wanyika, Baba Ilunga ~Nakolele, Mazembe, lakini kilishika chati sana enzi za akina Pepe Kale na Empire Bakuba na Bileku ya Mpasi, Bozi Boziana, Bongo Man, Yondo Sister, Soukouss Masters, Soukouss Stars, Aurlus Mabele, Tshmita, Dally Kimoko, Diblo Dibala na Matchacha Yetu, Tchiko Chikaya etc.

Kizazi cha nne ni cha akina Def Defao na Big Stars, Wenge Musica, Wenge Musica 4x4, Quarter Latie na Charles Antoinwe Koffi Olomide Papa Fololo Mourhino Mokonzi Sarkozy Virus vya Ebola , Wenge Ailes Paries, Zaiko Nkolo Mboka,Wenge Musica BCBG ya kwake Papa Cherry Tshtuka JB Mpiana Mukulu, Wenge Musica Maison Mere ya kwake Ngiama Makanda Le Roi de la Forret Igweee, Extra Musica, na zake zingine za akina Rogaroga, Oxygen etc, G7 Ca va ler.

Kizazi cha tano ndicho hichi cha akina Fally Ipupa DiCaprio, Ferre Gora Shwetan, Fabregas, Kabose, Herritier Watta Plus, kwa kibongobongo ndiyo hawa akina Christian Bella the King of the Best Melodies,
wewe ni noma
 
Madini adimu ya kwake Papa Cherry, Le Souvre Mukulu Papa na Daida Bin Adamu,JB MPIANA kibao kinaitwa Conseil Patcho, sikiliza Masauti ya Kweli, mpangilio wa vyombo, tempo ya muziki, na sebene la ukweeee...


 
Nimetimba ili nitoe salute kwa wimbo wa Werrason "operation dragon"
Aliyepiga gitaa la "rizim"

Yaani usipime wala usikadirie.
 
Kuna mada nimeanzisha kumuulizia huyu Mtangazaji wa RFA anaeongoza kipindi cha Bolingo Time, huyu ni Mbongo au Mkongoman?
Anaefaham atusaidie, kipekee ananifurahisha sana kwa mambo ya tafsiri, kuongea kwa simu na wasanii live na kuyaunga mazungumzo live na sisi wasikilizaji kusikia moja kwa moja.
 
Bila shaka atakuwa Zubeiry bin Msabaha, ni Mbongo huyo, pamoja na kuwa aliwahi ishi Congo DRC, lakini amekuwa mtangazaji wa bolingo bolingo si chini ya miaka kumi na tano, unaweza kuona kwa namna gani alivyobobea kwenye tasnia hiyo.
 
Kizazi cha kwanza au first generation baada ya kupata uhuru kilikuwa ni kizazi cha akina Niko Kasanda.

Kizazi cha pili ni cha akina Franco na TP OK Jazz akiwa na akina Simaro Lutumba, Jossy Kiambukuta, Tabu Ley, Sam Mangwana, Madilu System etc.


Kizazi cha tatu ni kile maarufu kama cha Soukous ndani humo kilianza muda kidogo kikienda sambamba na kizazi cha rhumba humo unawakuta Zaiko Langa Langa, akina Vangu, huku kwetu unakuta akina Mangelepa, Less Wanyika, Baba Ilunga ~Nakolele, Mazembe, lakini kilishika chati sana enzi za akina Pepe Kale na Empire Bakuba na Bileku ya Mpasi, Bozi Boziana, Bongo Man, Yondo Sister, Soukouss Masters, Soukouss Stars, Aurlus Mabele, Tshmita, Dally Kimoko, Diblo Dibala na Matchacha Yetu, Tchiko Chikaya etc.

Kizazi cha nne ni cha akina Def Defao na Big Stars, Wenge Musica, Wenge Musica 4x4, Quarter Latie na Charles Antoinwe Koffi Olomide Papa Fololo Mourhino Mokonzi Sarkozy Virus vya Ebola , Wenge Ailes Paries, Zaiko Nkolo Mboka,Wenge Musica BCBG ya kwake Papa Cherry Tshtuka JB Mpiana Mukulu, Wenge Musica Maison Mere ya kwake Ngiama Makanda Le Roi de la Forret Igweee, Extra Musica, na zake zingine za akina Rogaroga, Oxygen etc, G7 Ca va ler.

Kizazi cha tano ndicho hichi cha akina Fally Ipupa DiCaprio, Ferre Gora Shwetan, Fabregas, Kabose, Herritier Watta Plus, kwa kibongobongo ndiyo hawa akina Christian Bella the King of the Best Melodies,

Swadakta mkuu...nmesuuzika roho kwa namna ulivyowaeleza kwa vizazi....

Nawazimia sana EXTRA MUSICA....sana....hivi G 7 waliishia wapi?
 
Wenge Musical , B.C.B.G ni kundi siyo mwanamziki, na Werrason kabla ya kuanzisha kundi lake la Wenge Maison Mere alikuwa huko kama mmoja wa waanzilishi, chini ya kamanda JB Mpiana.


dah!! hapo line ya mwisho umenipa raha sana mkuu...kwa jinsi ulivolitaja jina la Jibe Mpiana...kamanda....

kama kuna mwenye wimbo wake ...LIBEREZI...autupie hapa...ntashukuru sana.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Hakuna kundi la muziki ambalo limewahi kuwa bora kama wenge.Marehemu kabila alipambana jamaa waungane tena ikashindikana maana walikuwa wanatuhumiana Kwa uchawi.
 
Back
Top Bottom