Mtangazaji nguli wa medani za Siasa Ndg Aloyce Nyanda ameteuliwa kuwa msemaji wa Chama cha ADC kuanzia leo ambapo uteuzi wake umeanza leo baanda ya Mwenyekiti wa Chama hicho cha Siansa MH. SHAABAN HAJI ITITU kumteua na Ndg ALLOYCE NYANDA, ameomba suala hilo la yeye kukubali ama kukukataa...
Jamani na mimi pia nipo najiandaa na Interview hiyo hiyo ha Tanroads please usisahau kushare kwangu pia ingawa me ninayo Connection ila lazima pia nijiandae kiasi
Mwanamke mmoja aliyekuwa anaitwa Nancy alikuwa anafanya kazi kwenye kiwanda cha kusambaza na kusaga nyama.
Siku moja, baada ya kumaliza ratiba yake ya kazi, aliingia kwenye chumba cha baridi (friji) cha nyama ili kukagua kitu, lakini kwa bahati mbaya, mlango ulijifunga na akakwama ndani bila...
Alex anaingia duka la dawa kununua kondomu. Mfamasia anamwambia kwamba kondomu zinazopatikana zipo kwenye pakiti kuanzia tatu, tisa, au kumi na mbili, na kumuuliza ni zipi anazotaka.
Alex anajibu, "Vizuri," anasema, "Ujue nimekuwa na mwanamke huyu kwa muda mrefu na ni pisi kweli kweli. Sasa leo...
Polisi anataka kumuuliza maswali kadhaa ili kujua uwezo wake.
Polisi: Ni nini 2+2?
Ahmad: Ummm... 4
Polisi: Nitajie square root ya 100?
Ahmad: Ni 10
Polisi: Sawa umepatia yote, sasa, nani alimuua Kinjekitile?
Ahmad: Kwa kweli sijui.
Polisi: Vizuri, sasa unaweza kwenda nyumbani na...
Miaka 10 iliyopita nikiwa napitia kipindi Cha balehe, niliambiwa punyeto haina madhara, na niliingia Google kusearch faida za Punyeto tu.... Gues What!!!?
Sikutafuta madhara ya kupiga punyeto kwasababu nilijua kama ningezifahamu basi ingenilazimu kuacha kupiga punyeto!
What a life? [emoji2]...
Tayari yuko mikononi mwa POLISI anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi mkoa wa Manyara, pichani akiwa ofisi za RCO - Manyara.
Kamanda wa polisi Manyara, GEORGE KATABANZI amegoma kutoa maelezo ya ziada ya kwanini anashikiliwa, amesisitiza ni taratibu za upelelezi.
Taarifa nyingine ni kwamba...
Kuelekea Simba day tiketi za Platinum ziliisha ndani ya siku moja, wiki moja kabla ya tukio. Simba SC ilitangaza tiketi zote zimeisha siku (2) kabla ya Mchezo.
Kuelekea African Football League tiketi za Platinum ziliisha ndani ya siku moja, wiki moja kabla ya tukio.
Michezo ya mwisho ya Simba...
[emoji383]MONEY MISTAKE 1
Usikope pesa ya riba ili uanzishe biashara. Usitegemee pesa ya mkopo kuianzishia biashara, upate faida kisha uirudishe pesa ya mkopo na riba yake.
[emoji383]MONEY MISTAKE 2
Usitumie pesa ambayo bado haipo mikononi mwako. Wala usije ukamuahidi mtu kumpa pesa ambayo...
Eti WanaJF kuna kijana mwenzangu hapa anapata maumivu wakati wa kumaliza kuSex na Demu wake anasema anapofika Mshindo zile shahawa zikiwa zinapita katika mshipa huwa anahisi kama zinamuunguza. Sasa shida inaweza kuwa nini?
Maana hii imekuwa inamtokea mara kwa mara na huwa akimeza AZUMA tu...
Kuna Mchepuko wangu amepanga Chumba Master, Sebule na Jiko analipa 150k Luku anajitegemea ameishi hapo ni miezi 11 sasa. Sasa hiyo Luku ndio ambayo ameanzia Maisha na aliwekewa Taarifu 0 Umeme wa 10k alikuwa anapata Units 70+ nadhani wengi wenu mnajua huu mfumo wa Tanesco kwa hizo Taarifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.